mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,049
- 3,380
kali tu muda utasema compare na zile copy n paste
Team watoboa pua jau sanaTEAM KIBA BANA HAHAHAHAHAHAHA
Kiba ni average artist mkuu wewe mwenyewe unaona kazi zake mkuuu hahahahahahaTeam watoboa pua jau sana
Watoboa puaKiba ni average artist mkuu wewe mwenyewe unaona kazi zake mkuuu hahahahahaha
Watoboa pua
Eneka hakuona aibu hata kuitoa?
Naombeni uzi wangu msiuunganishe
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu
1.Video mbovu
2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo
3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu
4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi
Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mama wa Trump anaezatiwa na Kim wa Korea.Sasa ndyo afanywe na adui wa mwanae?
Anzisheni na nyie
chibu hana haja ya kiki uchwara mkuuAnzisheni na nyie