Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Naombeni uzi wangu msiuunganishe

Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu

1.Video mbovu

2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo

3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu

4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi

Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?



Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe unataka mashine ya kiba
 
Mwimbo video ya majambazi kuiba inaendanaje na hayo maneno na mahaba.. nisaidieni as wengine inatuzima stimuli kwa kuona ujambazo kwanza. Duh!!!

Ila hiyo anajingezea maneno kujisifia eeeeh kaka hayatoki moyoni yamejaa uwoga..

Haya napita mimi... sikutegemea quality iwe ya chini pia.. na amesainiwa nani tena?
 
Kwa maana hiyo ili nyombo iwe mzur ni sharti uielewe wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ana maono, tamaa, mawazo binafsi na uhuru wa kuchagua kile akipendacho... Kiwe kibaya au kizuri
So nina uhuru wa kusema wimbo ni mbaya pasi kuulizwa maana hatufanani matamanio... Hivyo kwangu huu wimbo ni mbaya tu kama nyimbo zingine mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi ni fun wa huyu kiumbe........ila katika mziki kuna kupanda na kushuka
 
Mwimbo video ya majambazi kuiba inaendanaje na hayo maneno na mahaba.. nisaidieni as wengine inatuzima stimuli kwa kuona ujambazo kwanza. Duh!!!

Ila hiyo anajingezea maneno kujisifia eeeeh kaka hayatoki moyoni yamejaa uwoga..

Haya napita mimi... sikutegemea quality iwe ya chini pia.. na amesainiwa nani tena?
Kiba anakiki kubwa kuliko kazi
 
Hakika mm nampa0.0001/10

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
Mwimbo video ya majambazi kuiba inaendanaje na hayo maneno na mahaba.. nisaidieni as wengine inatuzima stimuli kwa kuona ujambazo kwanza. Duh!!!

Ila hiyo anajingezea maneno kujisifia eeeeh kaka hayatoki moyoni yamejaa uwoga..

Haya napita mimi... sikutegemea quality iwe ya chini pia.. na amesainiwa nani tena?
Majambazi ya CCM sio?
 
Back
Top Bottom