man kessy
Member
- Aug 25, 2017
- 20
- 19
Unaiyonaje mkuuHongera
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Unaiyonaje mkuuHongera
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Tuheshimiane hunijui sikujui sijawahi kukutusi na sitegemei mtu mwenye akili sawa amtusi mwenzake kisa wimboHaujauskia? angalia vizuri makalioni upo nimeuchomeka
Ngozi nyeusi kaziniAlafu nimeshangaa pale anapojisifia kwamba amepewa jina jipya anaitwa KIPUSA.....
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Kwanini mkuu mbona asilimia chache hivyo?
hahahahhaha.............huu ushabiki huu mtakujaga mtoane roho ...
Diamond akitoa nyimbo watu wansema ndo basi mdaa wake ushaisha na kiba nae the same. .
Ama kweli bongo nyoso
Nokia ya Torch
😀😀😀😀😀😀😀Mshikaji anasifika kwa kutoa ngoma zinazoishi na sifa kibao lakini apa amuna kwa kweli, yaani kaka umepuyanga kinoma ngoma mbovuuuuu sijawai ona, utafikiri kaimba underground.
Sent using Jamii Forums mobile app