Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Despaacito ninakula burito tena bila kijiko lalala... binti yangu hivi ndio anavyoimba wimbo wa Despacito. Hizi rylics sijui kazitoa wapi. Nilikuwa natoka kumchukua shule nilicheka nusu nipate ajali. I have to grow up sometimes
 
SIJUI HATA KWANINI HUWA MNAMUONA KIBA MSANII, KIBA ALIKUA ZAMANI NA ALISHAKWISHA KAMA KINA FERUZI, TEMBA, JUMA NATURE,DUDU BAYA, MR.NICE N.K, Kinachomweka mjini ni mashabiki wasiompenda Diamond ambao wameamua kumuoverrate Kiba na kumfananisha na Diamond, ila kiuhalisia Kiba hana kitu sasa
 
Hadi Dogo Aslay Kiba anakunyoosha staafu mziki mashabiki Zako hawakutakii mema
 
SIJUI HATA KWANINI HUWA MNAMUONA KIBA MSANII, KIBA ALIKUA ZAMANI NA ALISHAKWISHA KAMA KINA FERUZI, TEMBA, JUMA NATURE,DUDU BAYA, MR.NICE N.K, Kinachomweka mjini ni mashabiki wasiompenda Diamond ambao wameamua kumuoverrate Kiba na kumfananisha na Diamond, ila kiuhalisia Kiba hana kitu sasa
Dah..lakn haibi nyimbo za watu kama Eneka
 
Kati ya hizi ngoma ipi kali ya kwanza ya pili au ya tatu. Ali Kiba ana jina kubwa sana na kiki ya bifu pia anayo. Asley wala Beka hawana kiki ya kulelewa na wamama au hata ya bifu.


Seduce Me


Sikinai


Likizo

Beka ni kwamba hana nyota ila jamaa yuko vizuri sana, sauti na anaenda na biti kama anavyotaka kwa kutumia sauti yake.
Asley kwangu naona kapotea tayari, watu walikapendaga kale katoto, sio hiyu mtu mzima.
 
Back
Top Bottom