Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,572
- 21,537
Sina team Ila ni dhambi Kubwa Diamond kupambanishwa na Ally Kiba.. ..
Diamond ni Shidaa mazee
Sent From My Nokia Ya Tochi
Diamond ni Shidaa mazee
Sent From My Nokia Ya Tochi
Hii ngoma ikikaa san labda week tatu baada ya apo ni kifo cha mendeYan mnasemaga hivyo hivyo...hamjaanza leo hizo story, ila hii video ni level za mbele..
Baada ya mwaka tutaambizana humu maajabu itakayofanya
Stress za kukataliwa na Lady JaySina team Ila ni dhambi Kubwa Diamond kupambanishwa na Ally Kiba.. ..
Diamond ni Shidaa mazee
Sent From My Nokia Ya Tochi
sio The Weekend ni The Weeknd na ndo maana sijasema picha au pozi nimezugumzia in generalThe weekend kashika kichwa kiba hajashika wamefanana vipi, ya kiba Kuna jina la Baba diamond the weekend Hana.
hata beat ya nyimbo ni mbovu sana mkuuKing Kiba ametoa wimbo unaitwa seduce me ila ukiangalia Artwork yake ni copy and paste ya album cover ya msanii toka Canada The Weeknd iitwayo Star Boy ya mwaka 2016.
Je ni kwamba tuna uhaba wa graphics designers?
Wanasema hamna kitu kipya duniani ila sio kushindwa ku design na kuamua kukopy artwork ya msanii mwingine.
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Haujauskia? angalia vizuri makalioni upo nimeuchomekaSijausikiliza ila mzuri
Acha ubishi kwani huoni mfanano hapoThe weekend kashika kichwa kiba hajashika wamefanana vipi, ya kiba Kuna jina la Baba diamond the weekend Hana.