jamani i think mtakuwa mmeamini nlichowaambia jana kwamba this is history making good music sio videos zenye fancy cars,fancy houses and fancy girls huu mtindo wa wanigeria tuuache na tuwe kama international artists kama drake,jay z jama hebu angalieni videos za kina jay z na Nas and others kama haya mambo yapo sio lazima video iwe na rangi nyingi iwe hd kinachomata ni very good music
mfano justine timberlake anaweza kaa miaka mitano bila wimbo lakini akija na jiwe moja tuu mfano his last hit mirror angalieni video yake hakuna mambo ya rangi mademu magari wala nyumba nzuri let us be international let us br exposed just like ali kiba's good music is the living music jamani kama unabisha meza wembe
my regards