Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Wimbo naupa 9/10
Uko poa sana

I think Tanzania kuna wimbo wa taifa umezaliwa tena baada ya AJE ambao bado upo

Aina hizo za Video zilikuwa kwenye miaka ya 2000, video mbovu ajabu, hivi kweli utasema jamaa kakaa mafichoni mwaka mzima kwa hiyo Video?,
 
1. Asley likizo, 2. Bakar fleva sikinai na 3. Seduce me ali kiba 4. Cheche .................1069 Eneka.........1007 Fire by diamond
Sio mpenz wa music wa kisasa
But Aslay anaimba vzr ana sauy fulan HV lazima music wake uusikilize
Kuna SK nilijikuta nasilikiza mwanzo mwisho alivokuwa an a perform Mtwara.....alivaaa vzr no mlegezo wa ajabu chupi wala bucta haikuonekana

All the best kijana Aslay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii wa nyimbo za Injili Christina Shusho ameumwagia sifa wimbo mpya wa Ali Kiba uitwao seduce me na kusema ni wimbo mzuri wenye maadili, haya ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram
ff9463abcbb0ebe50c1e766201f533b9.jpg
33226884b5b5589e900624115571988c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
We dada kaa kimya kama hujui maana yake, kwani ukijua maana yake itabidi utubu na kubatizwa upya kwa maji mengi. Huu mziki wa kidunia tuachie sisi, ww chapa gospel. Ukigeuka nyuma utakuwa makanikia.
 
mshamba tu huyo. mtu aliyeokoka hata mmoja hawezi kushabikia hayo matapishi ya shetani, ndio maana uimbaji wake umeshapungua kwasababu ya michanganyo kama hiyo. kwasababu tu ametoka kigoma kama yeye ndio asapoti miziki ya shetani? wow! true picture ya hawa wanagospel wetu. kama kumtumikia Mungu kumekushinda, Mungu atachagua watu wengine wamuimbie, wewe endelea na kina Kiba.
 
mshamba tu huyo. mtu aliyeokoka hata mmoja hawezi kushabikia hayo matapishi ya shetani, ndio maana uimbaji wake umeshapungua kwasababu ya michanganyo kama hiyo. kwasababu tu ametoka kigoma kama yeye ndio asapoti miziki ya shetani? wow! true picture ya hawa wanagospel wetu. kama kumtumikia Mungu kumekushinda, Mungu atachagua watu wengine wamuimbie, wewe endelea na kina Kiba.
Acha unafiki wako wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi sijaelewa, ila ameelezea mambo mengi pamoja na Sakura Estate, namna Abas Saratiel kambona alivyofundisha majeshi. Ameimba pia kuhusu mawese, yaani sijaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Kuna watu walisema jamaa wana mu overrate, mwenzi mzima katulaza macho kwa nyimbo hii?
Kasikilizeni kigori ya shishi...kithungu kigumu mtaelewa vipi...Dai nyimbo zake za watu wa uswahilini..seduce me kwa wale wanaokula dinner 5 star hotels
 
Back
Top Bottom