Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

diamond na ali kiba there are two very different entities jamani we are to accept that mimi kiukweli ali kiba belongs to his own planet ana music wake kabisa na pia music ni good music ndio maana unaishi muda mrefu afu pia kuna watu wanaimba very good music sema hawapati airtime kama aslay,beka,ben paul,belle 9 I think you will understand what i mean by saying good music diamond anaimba nigerian music nandio ana copy na kupest huko
mfanoo south africa they have their own music thats why kule music wa nigeria hata hawaujui huys nadhani mtakuwa mumenielewa

We unajichanganya sana, Diamond hana muzic wa Kinegeria pekee, yeye anapoga flavour za kila sehemu, Ukiangalia Eneka na Nigeria type, ukiangalia I miss you ni South African Type, bado ana Tanzania na ana international

Angalia concert alizofanya Diamond, South africa, Zimbabwe, Botswana, Zambia, Malawi, Kenya, DRC, Rwanda, Uganda nk, huko kote kajaza nyomi na watu wanaimba hizo nyimbo zake kwa kuzijua
 
Watu wajaelewa. Wimbo wa Alikiba unawenjoy regardless kuna video ama haukuna. Lakini wa Dai huwezi kuwenjoy bila video.

Plili Wa Alikiba wakimataifa. Imagine kuna watu wawili hawajui kiswahili kabisa ukiwambia wasikilize zote mbili hakika watachagua wa Alikiba

Tatu Alikiba yuko mwenyewe lakini kule team yote ya basketball imecheza. Allikba is the king. Period

Sent using Jamii Forums mobile app

Muziki wala sio Lugha, Kuna miziki ya Kikongo inaimbwa na kuchezwa Dunia nzima na watu wasio Wacongo wala hawajui kinachozungumzwa, angalia Concerts za Diamond alizofanya karibu Africa nzima utaona watu wanaimba wasichokijua, so mziki una vitu vingi mno na siri kubwa, Ally Kiba hana hiyo siri
 
Muziki wala sio Lugha, Kuna miziki ya Kikongo inaimbwa na kuchezwa Dunia nzima na watu wasio Wacongo wala hawajui kinachozungumzwa, angalia Concerts za Diamond alizofanya karibu Africa nzima utaona watu wanaimba wasichokijua, so mziki una vitu vingi mno na siri kubwa, Ally Kiba hana hiyo siri
Yaah hana hiyo siri na ndo maana alitoka kabla ya dai na had now yupo na anafikiriwa na huyo dai mnayetaka kutuaminisha kwamba n the best, yote hiyo n kwa kuwa hana siri ya muziki.
 
habari wanaburudani ....hebu tupige story na kujiunga katika group la mziki mzuri kwa love jijoin hapa
KING KIBA VIEWERS
c9a1a072413390ecdb2f062605467e67.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
So many people look at mange kimambi as an ordinary person. To me I take it differently, she is of person who always wish to impose her thoughts into others while she keeps on maintaining her lifestyle despite cries from different people of different caliber.
Let's look at the new event which is trending in social Media, ALI KIBA with his new release SEDUCE ME, she Has dedicated her time ,energy and resources to make sure Ali kiba beats Diamond.
My question is,who will be next in the line?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna msanii anayependa kuweka Magari kwenye video zake kama Jay Z hebu niwekee bideo moja ya Jay Z isiyo na migati ya kifahari
try to understand my concern kaka dont panic tunaongelea burudani tuaongelea the art of video making ulishawahi kuangalia wimbo wa D.O.A mfano jay z akiimba wimbo wa kujisifia lazima vitu ambavyo vipo bdani verses zake lazima vionekane
please try to understand my concern
 
mfano i miss you by diamond is the best song kwangu hata producer wa hii ngoma namkubali saana
 
try to understand my concern kaka dont panic tunaongelea burudani tuaongelea the art of video making ulishawahi kuangalia wimbo wa D.O.A mfano jay z akiimba wimbo wa kujisifia lazima vitu ambavyo vipo bdani verses zake lazima vionekane
please try to understand my concern

Concern yako nimekuelewa kuwa video mbovu ni zile zilizozoeleka zenye magari na majumba ya Kifahari, na ukatoa mfano kuwa kuna video nzuri ambazo haniza hayo mavitu na ukatoa mfano wa Jay Z, nikakwambia hakuna msanii Marekani anayependa kuonyesha Magari kama Jay Z, labda uniambie ulimmention Jay Z kwa hoja hipi?
 
Concern yako nimekuelewa kuwa video mbovu ni zile zilizozoeleka zenye magari na majumba ya Kifahari, na ukatoa mfano kuwa kuna video nzuri ambazo haniza hayo mavitu na ukatoa mfano wa Jay Z, nikakwambia hakuna msanii Marekani anayependa kuonyesha Magari kama Jay Z, labda uniambie ulimmention Jay Z kwa hoja hipi?
hahahhahahahahhahhahahhahhhahhahahhhhha
Dont panic concern ni kwamba NO CREATIVITY
MY REGARDS
 
Back
Top Bottom