ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,211
Alikiba mdogo sn yan ht ben paul,aslay,rayvanny wanaweza kuimba kumpita bas tu ukongwe unambeba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13] [emoji13] labda atajufunzaAnakera sana huyu mbwiga!
ANA KIPAJI KIZURI ANA SAUTI NZURI ANACHEZA VIZUR ANAPENDWA KAMA ARSENAL
ANASHINDWA NINI KUMSUMBUA NASEEB?
yani anakaa tu huko Tabata akiitwa itwa Kiba Kiiiba!
akapinda pinda midomo kama anjifu!
anaona kafiiiiiiika!
YANI ANAKERAAAAA!
Yooooh
Kwann nyimbo isiwe mbaya ikiwa mchambuzi wa nyimbo ni kutoka CCM?hahahaha yani bora kusikiliza papa ya Gigy kuliko hii taka taka aliyoileta Alikiba.
Mimi si shabiki wa Alikiba kabisa lakini kuna nyimbo zake ni nzuri nazikubali kama Aje,Cheketua,Lupela...
Kwakweli Alikiba anapaswa kuendelea kuamshwa na Diamond ili apate show lake kwa muziki tuu hana ubavu.
Lakn sio ya kuiba kama EnekaMkuu kwani nayo ni nyimbo.? Nahic ma director wa siri ya mtungi ndio walioshoot. Dem mwenyewe mbaya skeleton hata ebitoke ana afadhali
Alikuibia wewe hiyo ENEKALakn sio ya kuiba kama Eneka
nachukia sana ujue![emoji13] [emoji13] labda atajufunza
Umejibu moja bado moja.. pengine la muhimu zaid
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kama hujui aliyeibiwa basi ww una matatizo ya afya ya akiliAlikuibia wewe hiyo ENEKA
Kuandika kwenyewe hujuiAlikiba mdogo sn yan ht ben paul,aslay,rayvanny wanaweza kuimba kumpita bas tu ukongwe unambeba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichagua kuwa team chai JabaWadau kwa ngoma alotoa alikiba means ameandika mwaka mzima masikini... Lakin imekuja kutoka daaah hakianani.. Kumfananisha Diamond na kiba ni kosa kubwa mnooo alikiba afananishwe na Aslay tu no way out
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wote tuna matatizo kama yako.Kama hujui aliyeibiwa basi ww una matatizo ya afya ya akili
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
View attachment 574760
Ha! ha! ha! Just ha! ha!
Poa poaSiyo wote tuna matatizo kama yako.
Swali hili ukijibunachukia sana ujue!
sasa ukimkuta anajiandika FOREVER KING!
YANI UNATAMANI UMPASULIE YAI VIZA !
anuke tu labda akioga maji baridi atashtuka usingizi aliolala!
WITH THESE LOYAL MASHABIKI ALONAO!
HAWATOLEI CHOCHOTE CHA MAANA!
AKITOA VIDEO KAMA YA KUMUNYO!
AKIIMBA KAMA TUNAMUOMBA ATUPE FUNGUO ZA PEPO!
unamfanyaje huyu mtu kama sio kumpasulia yai viza la kenge tu!
psyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!