beautybrain
Member
- Mar 8, 2016
- 38
- 35
Linamo asante sana wimbo mtamu hauna makelele umecool kiutamu sana nimeupenda sanaHuyu Domo kwa Kiba aendelee kusubiri sanaaa maana Kiba leo kadhihirisha yuko level za kimataifa.
Wapenda singeli hawawezi muelewa King.
Narudia ni kali.
Wakati aje inatoka ulikuwa unajua ina kiki za sonyEneka inakimbiza kinoma kwenye ma top ten. Aje ilikuja na kiki za sony ndo maana ilibmba nakupa week tu ngoma chali mtaikataa tena si ndo zen maana kajiandae na aje remix mshazikataa siyo zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kujua vitu vizuriLinamo asante sana wimbo mtamu hauna makelele umecool kiutamu sana nimeupenda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa hutafuti pesa unalala macho kusubiri wimbo? Only in TanzaniaAisee! Kuna watu walisema jamaa wana mu overrate, mwenzi mzima katulaza macho kwa nyimbo hii?
Kasema ana mandinga kibao ya kugawa, na wanamuita pasua kichwa. In summary lakini hahaha
hahahaha,...mataifa gani???? ya mombasa au???Huyu Domo kwa Kiba aendelee kusubiri sanaaa maana Kiba leo kadhihirisha yuko level za kimataifa.
Tatizo mshazoea singeli Kiba haimbi hizo.hahahaha,...mataifa gani???? ya mombasa au???
Hahahaha kazi wanayoNdo wanasema ivo watoto wa K/koo
Team Yooo
Nokia ya Torch
Utakufa na pressure bure chuki Co ktu kizuriiOmooo kwenye ubora wako.
Hii siyo singeli[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mwambie boss wako aendelee kucopy ladha za wanigeria.
Pressure unayo wewe unayetumia nguvu nyingi kubadilisha nyeupe iwe nyeusi[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]xorry I'm a boss of my own lfe cjui uyo boss katokea wapPressure unayo wewe unayetumia nguvu nyingi kubadilisha nyeupe iwe nyeusi[emoji23] [emoji23]
Hatuimbi visingeli subiri boss wako ataachia singeli soon utaburudika
nyimbo anaihalibu pale dk 2 sekunde 14 sijui anaingizia chalanga sijui salsa dah
Hv mkuu ujumbe wa huu wimbo ni nini maana mie nasikia makelele tu ya kujisifu kua ana misifaNdo wanasema ivo watoto wa K/koo
Team Yooo
Nokia ya Torch