Off day ya kesho utata mtupu

Off day ya kesho utata mtupu

chalii wa ara

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
1,086
Reaction score
1,021
Hii off work Ya Kesho Ni Ya Kibaguzi Kwa Maaskari Na Walimu Ama Vipi

Yaan serikali inachokifanya ni kukurupuka tu, Necta ratiba yao inasema kesho mitihani kama kawaida, huku chiko anatangaza kesho mapunziko kwenye nchi maskini kama hii, cjui kashauriwa na nani? au ndio baada ya matokeo ya form 4 kutoka watangaze mtihani ulivuja so tunarudia tena mitihani ya form 4 .HAIKOSAWA.
 
Hutaki, nenda kazini, bosi ndo keshaamua, wajipange kama imeingiloa ratiba zao!
 
mitihani iko palepale na wakupumzika tunapumzika kama kawaida
 
Hahahaaa...virais vya banana republics bana!

Vinapenda sana ujiko.

Kama mtu anaapishwa kwa nini watu waache shughuli zao?

Marais wenye majukumu makubwa kama [POTUS] wakiapishwa hakuna anayeachaga kufanya kazi na hakuna cha siku ya mapumziko.

Sasa mapumziko ya nini kesho?

Ama kweli CCM ni ile ile.
 
Hahahaaa...virais vya banana republics bana!

Vinapenda sana ujiko.

Kama mtu anaapishwa kwa nini watu waache shughuli zao?

Marais wenye majukumu makubwa kama [POTUS] wakiapishwa hakuna anayeachaga kufanya kazi na hakuna cha siku ya mapumziko.

Sasa mapumziko ya nini kesho?

Ama kweli CCM ni ile ile.
Wee nenda kazini, kwani JK kachukua funguo za milango ya maofisini mwenu?
 
Jamaa wakati anasema hapa kazi tu mwenzake anatuaga kwa mapumziko kesho! Viva j.k!
 
Back
Top Bottom