chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,086
- 1,021
Hii off work Ya Kesho Ni Ya Kibaguzi Kwa Maaskari Na Walimu Ama Vipi
Yaan serikali inachokifanya ni kukurupuka tu, Necta ratiba yao inasema kesho mitihani kama kawaida, huku chiko anatangaza kesho mapunziko kwenye nchi maskini kama hii, cjui kashauriwa na nani? au ndio baada ya matokeo ya form 4 kutoka watangaze mtihani ulivuja so tunarudia tena mitihani ya form 4 .HAIKOSAWA.
Yaan serikali inachokifanya ni kukurupuka tu, Necta ratiba yao inasema kesho mitihani kama kawaida, huku chiko anatangaza kesho mapunziko kwenye nchi maskini kama hii, cjui kashauriwa na nani? au ndio baada ya matokeo ya form 4 kutoka watangaze mtihani ulivuja so tunarudia tena mitihani ya form 4 .HAIKOSAWA.