Hahahaaa...virais vya banana republics bana!
Vinapenda sana ujiko.
Kama mtu anaapishwa kwa nini watu waache shughuli zao?
Marais wenye majukumu makubwa kama [POTUS] wakiapishwa hakuna anayeachaga kufanya kazi na hakuna cha siku ya mapumziko.
Sasa mapumziko ya nini kesho?
Ama kweli CCM ni ile ile.
Wajipange kila mtu kivyake? Kwa hiyo shule nyingine wakiamua kujipanga kwa kufanya mtihani kesho, na shule nyingine ikajipanga kuufanya mtihani huo huo siku nyingine let's say Jumamosi, kuna mtihani hapo?Hutaki, nenda kazini, bosi ndo keshaamua, wajipange kama imeingiloa ratiba zao!
Na wale wenye makampuni bibafsi wamelizwa na rais mpenda ngoma.
Huwezi kuwalazimisha wafanyakazi waje kazini wakati rais ameshaamua.
Wee nenda kazini, kwani JK kachukua funguo za milango ya maofisini mwenu?
Hao wasimamizi waende na mitihani huko Uwanjani shamba la bibi?Acha potosha. Mitihani ina wasimamizi.
Walimu wengine wako off.
Naam, mamlaka alonayo rais wa banana republic Tanzania ndo u mungu mtu wenyewe huo.
Kwani sheria za Necta huwa zinasemaje katika ratiba yao? msitusumbue na ukanjanja wenu kila kitu kwenu shida mnakuwa kama wajawazito
Sisi tumekubaliana tuende kazini kama kawaida kwani si mara ya kwanza rais kuapishwa siku ya kszi na kazi nyingine zikaendelea. Kuna mambo mengi tu yana deadline sasa ukiondoa siku ya kesho italeta shida