Mitihani ya Mock isitungwe kiholela wakati syllabus haijaisha

SubiriJibu

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
1,803
1,863
TAHOSA ni chama cha walimu wakuu wa shule hasa za Sekondari. Moja ya kazi zao ni kutunga mitihani ya majaribio kwa wanafunzi, yaani hii mitihani inayoitwa “Mock Examinations” au kwa kifupi kilichozoeleka “mock”.

Shida yangu ninayowaeleza watanzania hasa sisi ambao ni wazazi wa wanafunzi ni jinsi TAHOSA na halamashauri zinavyoendesha mitihani hii ya mock.

Kabla ya kulieleza tatizo lao tueleze kwanza utaratibu wa utungaji wa mitihani unavyokuwa.

Mtihani au “examination” maana yake kipimo kinachopima kama mwanafunzi ameelewa yale aliyofundishwa. Hivyo Baraza la Mitihani (NECTA) humpima mwanafunzi kwa mitihani kwa topic zote za sekondari.

Mtihani wa NECTA unapotoka huwa ni November kwa form 4. Hii maana yake ni kwamba NECTA inatoa mtihani baada ya ratiba yay a ufundishaji kuwa imeisha yote.

Vilevile mwaka mmoja kabla ya mtihani NECTA huwa wanayo format ya mtihani utakavyokuwa na wanaisambaza kwa wananchi wote muione, siku hizi kuna intenrnet ukiitaka unaipata kwenye simu yako.

Sasa je tatizo la mtihani wa mock ni nini? Mtihani wa mock ni mtihani unaofanywa mwezi wowote kabla ya kumaliza syllabus.

Mwaka jana D’Salaam walifanya mtihani mwezi July na mwaka huu Mock inafanywa mwezi May. Hii maana yake mtihani wa mock unafanywa wakati syllabus haijaisha.

Tatizo la kwanza la walimu wakuu hapa nchini na TAHOSA yao ni kwamba hawajawahi kutangaza forma ya mitihani ya mock kama wenzao NECTA wanavyofanya.

Matokeo yake ni kwamba wazazi, walimu na kila mmoja hujui wanatunga kuishia wapi.

Kilicho cha uhakika ni kwamba mwanafunzi atakuwa amefundishwa syllabus yote ya form 1 mpaka form 3. Lakini mwezi May 2023 unaana ikiwa ni wiki ya 15 ya masomo. Ukichukulia somo la Mathematics linaloongoza kwa kufeslisha wanafunzi huo mwezi May hiyo wiki ya 15 maana yake mtoto ndiyo kwanza yuko katikati ya topic ya 3 kati ya topic nane za form four.

Sasa ukitunga topic mtihani wa mock yenye swali la topic ya nne hadi ya nane kiukweli utakuwa hujui ni nini maana ya mtihani na hiki ndicho wanachokifanya hawa TAHOSA kwenye hii mitihani yao ya mock.

Wanatunga mtihani bila kuwa na guideline kwamba watunge wapi waishie wapi kama wenzao NECTA. Sijawahi kuona guideline yao ya utungaji wa mitihani.

Hii maana yake wote TAHOSA na walimu wote hapa nchini wanaipokea tu mitihani wanawatwisha watoto wetu wakati kumbe topi zenyewe hata hazijafikiwa.

TAHOSA na walimu wote hapa nchini hawapaswi kuwa wajinga kiwango hiki. Mtihani ni kipimo cha kupima alichjifunza mwanafunzi. Sasa unampa mtihani una maswali ambayo hajajifunza huo ni upimaji wa aina gani. Hiki ni kituko maana hakuna upimaji wa namna hiyo kokote duniani.

Hivyo, TAHOSA warekebishe hali yao kwa kufanyayafuatayo. Watoe guideline inayoeleza wazi kwamba mithiani yao ina cover kuanzia eneo fulani hadi fulani la syllabus.

Hili linatakiwa kuzingatia syllabus inasemaje kuhusu idadi ya vipindi katika kila somo na hivyo kufikia mwezi May itakwe wazi ni topic gani zinaletwa kwenye mock.

La sivyo, kama TAHOSA itaendelea hivi kuchomoa maswali hata ya topic za mwisho basi itaishia kuwa hina maana na mitihani ya mock itakosa heshima.
 
Sidhani kama inatungwa kiholea sema walimu wanafundisha kiholela. Walimu wanakuwa na format zote mpaka za mitihani ya mock na jinsi maswali yanavyotoka. .

Wakati nasoma PCB mwalimu wetu wa physics nadhani alikusudia tufeli maana kuna siku nilishika format na kukuta anatufundisha mambo ambayo hata kwenye mtihani hayatoki. Nilijiuliza sana hili 🤔

Kwa sababu format ipo pale kum direct mwalimu apitie wapi kwenye mitihani. Wakati niko six tulisoma hesabu flan za factoring wakati hazikuw na umuhimu wa kusoma na hazijawah toka popote pale 😔
 
Inaelekea wewe ni mmoja kati ya wengi wasiojua maana ya format umebaki kudhani past papers ulizoona ndiyo format.

Kasime website ya NECTA ubue format ni nini. Aidha pole sana hujui tunalojadili.



Sidhani kama inatungwa kiholea sema walimu wanafundisha kiholela. Walimu wanakuwa na format zote mpaka za mitihani ya mock na jinsi maswali yanavyotoka. .

Wakati nasoma PCB mwalimu wetu wa physics nadhani alikusudia tufeli maana kuna siku nilishika format na kukuta anatufundisha mambo ambayo hata kwenye mtihani hayatoki. Nilijiuliza sana hili 🤔

Kwa sababu format ipo pale kum direct mwalimu apitie wapi kwenye mitihani. Wakati niko six tulisoma hesabu flan za factoring wakati hazikuw na umuhimu wa kusoma na hazijawah toka popote pale 😔
 
Inaelekea wewe ni mmoja kati ya wengi wasiojua maana ya format umebaki kudhani past papers ulizoona ndiyo format.

Kasime website ya NECTA ubue format ni nini. Aidha pole sana hujui tunalojadili.
Nimezungumzia format ambazo wanapew walimu. Najua nachokizungumza na format sio past paper hayo ni maneno yako. .

Ngoja nina format niliziibaga shule kipindi hicho nikienda home later kaa Bi mkubwa nitakupigia picha nikuonyeshe ila ukizingumza na mimi zungumza kwa heshima. .

Format hutumwa kila shule wafundishe nini na nini, wakati nasoma Alpha high school walimu walikuwa wanatupa tutoe copy. .
 
Hahaaahaaa pole Sana kama mpaka mwezi wa Tano hujamaliza silabas!?? Kaka silabas wenzio wanaimaliza April mwishoni baada ya hapo ni mitihani na revision mitihani kwanzia July mpaka November Kila siku na mtuhani wa kwanza ni saa kumi alfajiri!!! Mpaka saa mpaka saa moja kamili asubuhi Kisha vijana wanapata ujii!!!
Saa mbili wanaingia revision mpaka sanane mchana kishaa saa kumi jioni mtihani wapili mpaka saa kumi na mojahiyo ni ratiba mpaka mtihani wa taifa uanze!! Unafikiri watoto kupata A na B necta ni mchezo
 
Naujua huo udanganyifu mnaofanya kwenye shule za boarding maana wengine wanafundisha hata saa nne za usiku.

Mwalimu anayefanya hivi ni mbumbumbu maana yake hawezi kufundisha day school.

Tena shule hizo zinaibia hata walimu maana kufanya kaxi nje ya masaa ya kaxi ni overtime yaani malipo mara mbili ya mshahara.

Acha wizi kama wewe ni mwalimu mkuu wa shule hizi au director.



Hahaaahaaa pole Sana kama mpaka mwezi wa Tano hujamaliza silabas!?? Kaka silabas wenzio wanaimaliza April mwishoni baada ya hapo ni mitihani na revision mitihani kwanzia July mpaka November Kila siku na mtuhani wa kwanza ni saa kumi alfajiri!!! Mpaka saa mpaka saa moja kamili asubuhi Kisha vijana wanapata ujii!!!
Saa mbili wanaingia revision mpaka sanane mchana kishaa saa kumi jioni mtihani wapili mpaka saa kumi na mojahiyo ni ratiba mpaka mtihani wa taifa uanze!! Unafikiri watoto kupata A na B necta ni mchezo
 
Naujua huo udanganyifu mnaofanya kwenye shule za boarding maana wengine wanafundisha hata saa nne za usiku.

Mwalimu anayefanya hivi ni mbumbumbu maana yake hawezi kufundisha day school.

Tena shule hizo zinaibia hata walimu maana kufanya kaxi nje ya masaa ya kaxi ni overtime yaani malipo mara mbili ya mshahara.

Acha wizi kama wewe ni mwalimu mkuu wa shule hizi au director.
Pole Sana huo ndio msimamo wa shule za wakatiliki mkuu ndio maana unakuta division Wani darasa zimaaa!!!
Mkoa wa Kilimanjaro wameiga hili shule zote za serikali kufundisha mwisho mei
 
Hujajibu hoja kwa sababu huujui ukweli unang'ang'ania masuala ya msimamo wa kanisa.

Msimamo wa sheria ni ovrtime kulipwa kama huwezi wekeza nchi nyingine siyo Tanzania.

Huelezi mfumo wako utawezekanaje kwa shuke za days.

Hivyo, shule hizi hazina walimu bora ni ubabaishaji.

Pole Sana huo ndio msimamo wa shule za wakatiliki mkuu ndio maana unakuta division Wani darasa zimaaa!!!
Mkoa wa Kilimanjaro wameiga hili shule zote za serikali kufundisha mwisho mei
 
Hujajibu hoja kwa sababu huujui ukweli unang'ang'ania masuala ya msimamo wa kanisa.

Msimamo wa sheria ni ovrtime kulipwa kama huwezi wekeza nchi nyingine siyo Tanzania.

Huelezi mfumo wako utawezekanaje kwa shuke za days.

Hivyo, shule hizi hazina walimu bora ni ubabaishaji.
Endelea kumaliza silabas November utaona
 
Suala la kufaulu mitihani sio lelemama,lazima walimu na wanafunz wawe committed hasa,miaka hiyo tunasoma,mwez wa 5 syllabus tulimaliza...miez iliyobaki yote ilikua revision tu michezo,tena hiyo ni day school
 
TAHOSA ni chama cha walimu wakuu wa shule hasa za Sekondari. Moja ya kazi zao ni kutunga mitihani ya majaribio kwa wanafunzi, yaani hii mitihani inayoitwa “Mock Examinations” au kwa kifupi kilichozoeleka “mock”.

Shida yangu ninayowaeleza watanzania hasa sisi ambao ni wazazi wa wanafunzi ni jinsi TAHOSA na halamashauri zinavyoendesha mitihani hii ya mock.

Kabla ya kulieleza tatizo lao tueleze kwanza utaratibu wa utungaji wa mitihani unavyokuwa.

Mtihani au “examination” maana yake kipimo kinachopima kama mwanafunzi ameelewa yale aliyofundishwa. Hivyo Baraza la Mitihani (NECTA) humpima mwanafunzi kwa mitihani kwa topic zote za sekondari.

Mtihani wa NECTA unapotoka huwa ni November kwa form 4. Hii maana yake ni kwamba NECTA inatoa mtihani baada ya ratiba yay a ufundishaji kuwa imeisha yote.

Vilevile mwaka mmoja kabla ya mtihani NECTA huwa wanayo format ya mtihani utakavyokuwa na wanaisambaza kwa wananchi wote muione, siku hizi kuna intenrnet ukiitaka unaipata kwenye simu yako.

Sasa je tatizo la mtihani wa mock ni nini? Mtihani wa mock ni mtihani unaofanywa mwezi wowote kabla ya kumaliza syllabus.

Mwaka jana D’Salaam walifanya mtihani mwezi July na mwaka huu Mock inafanywa mwezi May. Hii maana yake mtihani wa mock unafanywa wakati syllabus haijaisha.

Tatizo la kwanza la walimu wakuu hapa nchini na TAHOSA yao ni kwamba hawajawahi kutangaza forma ya mitihani ya mock kama wenzao NECTA wanavyofanya.

Matokeo yake ni kwamba wazazi, walimu na kila mmoja hujui wanatunga kuishia wapi.

Kilicho cha uhakika ni kwamba mwanafunzi atakuwa amefundishwa syllabus yote ya form 1 mpaka form 3. Lakini mwezi May 2023 unaana ikiwa ni wiki ya 15 ya masomo. Ukichukulia somo la Mathematics linaloongoza kwa kufeslisha wanafunzi huo mwezi May hiyo wiki ya 15 maana yake mtoto ndiyo kwanza yuko katikati ya topic ya 3 kati ya topic nane za form four.

Sasa ukitunga topic mtihani wa mock yenye swali la topic ya nne hadi ya nane kiukweli utakuwa hujui ni nini maana ya mtihani na hiki ndicho wanachokifanya hawa TAHOSA kwenye hii mitihani yao ya mock.

Wanatunga mtihani bila kuwa na guideline kwamba watunge wapi waishie wapi kama wenzao NECTA. Sijawahi kuona guideline yao ya utungaji wa mitihani.

Hii maana yake wote TAHOSA na walimu wote hapa nchini wanaipokea tu mitihani wanawatwisha watoto wetu wakati kumbe topi zenyewe hata hazijafikiwa.

TAHOSA na walimu wote hapa nchini hawapaswi kuwa wajinga kiwango hiki. Mtihani ni kipimo cha kupima alichjifunza mwanafunzi. Sasa unampa mtihani una maswali ambayo hajajifunza huo ni upimaji wa aina gani. Hiki ni kituko maana hakuna upimaji wa namna hiyo kokote duniani.

Hivyo, TAHOSA warekebishe hali yao kwa kufanyayafuatayo. Watoe guideline inayoeleza wazi kwamba mithiani yao ina cover kuanzia eneo fulani hadi fulani la syllabus.

Hili linatakiwa kuzingatia syllabus inasemaje kuhusu idadi ya vipindi katika kila somo na hivyo kufikia mwezi May itakwe wazi ni topic gani zinaletwa kwenye mock.

La sivyo, kama TAHOSA itaendelea hivi kuchomoa maswali hata ya topic za mwisho basi itaishia kuwa hina maana na mitihani ya mock itakosa heshima.
Ni vema sana. Aidhaiwe ya ndani tu
 
Hujajibu hoja kwa sababu huujui ukweli unang'ang'ania masuala ya msimamo wa kanisa.

Msimamo wa sheria ni ovrtime kulipwa kama huwezi wekeza nchi nyingine siyo Tanzania.

Huelezi mfumo wako utawezekanaje kwa shuke za days.

Hivyo, shule hizi hazina walimu bora ni ubabaishaji.
Miaka hii kumpeleka mtoto wasekondari shule ya dai una muua kitaaluma
 
Suala la kufaulu mitihani sio lelemama,lazima walimu na wanafunz wawe committed hasa,miaka hiyo tunasoma,mwez wa 5 syllabus tulimaliza...miez iliyobaki yote ilikua revision tu michezo,tena hiyo ni day school
Hajielewi huyo wewe mwache anacheza na competency base hii mitihani kama mtoto hajui kidhungu hawezi faulu
 
Hakuna cha miaka au lolote. Shule za day zilikuwepo miaka yote na zipo duniani kote.

Ni uzembe tu wa walimu kutojua kutumia muda wao wa dakika 40 darasani.

Miaka hii kumpeleka mtoto wasekondari shule ya dai una muua kitaaluma
 
Hujajibu hoja kwa sababu huujui ukweli unang'ang'ania masuala ya msimamo wa kanisa.

Msimamo wa sheria ni ovrtime kulipwa kama huwezi wekeza nchi nyingine siyo Tanzania.

Huelezi mfumo wako utawezekanaje kwa shuke za days.

Hivyo, shule hizi hazina walimu bora ni ubabaishaji.
Hahaha pole Sana cjui ulisoma miaka Gani ila ukisikia shule ina wanafunzi 90 wote dv one usidhani ni mchezo watoto wanaburuzwa hasa mpaka wananyooka wakiona mtihani wa taifa wanauona kama weekly test
 
Ndiyo maana nasema mwalimu huyo ni mbumbumbu maana hawezi kufaulisha shule za day.

Hahaha pole Sana cjui ulisoma miaka Gani ila ukisikia shule ina wanafunzi 90 wote dv one usidhani ni mchezo watoto wanaburuzwa hasa mpaka wananyooka wakiona mtihani wa taifa wanauona kama weekly test
 
Hakuna cha miaka au lolote. Shule za day zilikuwepo miaka yote na zipo duniani kote.

Ni uzembe tu wa walimu kutojua kutumia muda wao wa dakika 40 darasani.
Ongelea Tanzania acha na huko kwingine mjombaSasa hivi utandawazi umewamaliza vijana hasa wa shule za dai!!! Mapenzi ,smart phone,Mpira,ligi ya NBC,lig ya uingereza,kubeti,bongo fleva zimewauwaaaa wengi hawajielew ndio maana nikakwambie shule za dai ni hovyo!?
 
Back
Top Bottom