Kijani mnapenda watu wajinga wajinga, machawa, wasiojielewa.Mwandishi makini mwenye uwezo wa kudadavua mambo kama walivyokuwa akina Shaka Sali huwezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama aliyomuuliza Mwenezi wa CCM iliyokataliwa na wananchi.
Kwa sasa mwandishi Khalifa naweza kusema ndio mwandishi very intelligent and analytical.
Mfano huwezi kumuuliza mwenezi wa CCM juu ya katiba mpya alafu ukauliza kipuuzi namna ile. Wakati unajua wazi hii katiba ya sasa haikutingwa na wananchi.
Sidhani, ila huenda uko sahihimuoga muoga sana, interview na bashiru aikua kapoa sana.
yewezekana alikua anataka kumwambia amepwaya
Akiuliza maswali unayotaka aulize utamsaidia kusomesha watoto wake ikiwa atapotea?Mwandishi makini mwenye uwezo wa kudadavua mambo kama walivyokuwa akina Shaka Sali huwezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama aliyomuuliza Mwenezi wa CCM iliyokataliwa na wananchi.
Kwa sasa mwandishi Khalifa naweza kusema ndio mwandishi very intelligent and analytical.
Mfano huwezi kumuuliza mwenezi wa CCM juu ya katiba mpya alafu ukauliza kipuuzi namna ile. Wakati unajua wazi hii katiba ya sasa haikutingwa na wananchi.
kimsingi nimeotea maana sikuangalia kipindiSidhani, ila huenda uko sahihi
Kumbe tumeling'amua wengi hilo! Hata mimi nimeona akiuliza maswali mepesi na kukubali majibu mepesi sana. Mf issue ya Polepole ambayo CCM hata tamko la kulaani hawakuwahi kutoa, unakubalije majibu mepesi ya vyombo kuchunguza. Hata ndugu za Polepole wamekuwa na malalamiko sana hatujawai kuona sambamba na CCM kama ilivyo Chadema na wanachama wao
Mimi pia nimeangalia vipande vichache sijaangalia kipande kizima, unaweza kutafuta hicho kipande alichouliza kuhusu Polepolekimsingi nimeotea maana sikuangalia kipindi
Odemba ni mwandishi overrated sana, huwa anauliza maswali kwa mbwembwe tu ila hawezi kufanya critique
Wanataka kumuua yule mama yake na preshaSwali la kipuuzi. Sababu alipo Polepole kila MwanaCCM anajua. Ametekwa au ameshauliwa.
Ingekuwa jambo la mbolea kama ungeweka hiyo comparison ili sote tuone tofauti kati yao.Mwandishi makini mwenye uwezo wa kudadavua mambo kama walivyokuwa akina Shaka Sali huwezi kuuliza maswali ya kipuuzi kama aliyomuuliza Mwenezi wa CCM iliyokataliwa na wananchi.
Kwa sasa mwandishi Khalifa naweza kusema ndio mwandishi very intelligent and analytical.
Mfano huwezi kumuuliza mwenezi wa CCM juu ya katiba mpya alafu ukauliza kipuuzi namna ile. Wakati unajua wazi hii katiba ya sasa haikutingwa na wananchi.
Hakuna la maana analofanya.Khalifa yule anafanya kwanza utafiti kabla ya kukuhoji,mwingine ni yule Charles wa Wasafi yuko poa. Odemba ni kupayuka na kudandia kabla mtu hajamaliza but kutokana na sauti yake akiboresha vitu vichache tu hatoshikika.
Tumia akili yako kuona tofauti walizonazo.Ingekuwa jambo la mbolea kama ungeweka hiyo comparison ili sote tuone tofauti kati yao.
Maana wote wafanya zote critical analytical approach kwa waulizwa masuali.
Na moja ya lengo la analytical approach ni kumweka karibu muulizwa masuali ili ajibu ama kwa kufahamu au kwa kutokufahamu.
Interview angefanya na babu Wasira na Makonda kama wangekuwa ni makatibu wenezi pengine wasingefika mbali na hivyohivyo kwa Khalifa.
Kumbuka lengo la Odemba si yeye kujinufaisha na interview ile bali ni kukupa weye mtazamaji mwanga na nafasi ya kumwelewa uzuri bwana Kihongosi ana msimamo gani kama yeye binafsi au kama kada wa CCM.
Kwa sie wengine ni rahisi kuona kwamba Kihongosi hakutaka kujibu masuali wala kukiri kwamba hotuba alozitoa nyuma zilikuwa ni 'misleading information'