Obama...Sasa hii Too Much!!

Obama...Sasa hii Too Much!!

kwani hiyo picha iliwekwa hapo ili tuipake rangi si ili tuidadavue?kha maneno yamekushinda pita hiyo ndio khabari ya mujini sasa


Haya mwanetu.... Ila huko mjini kwenu?! Sijui mtafika wapi nako....
 
Tamaduni ndo kila kitu... Huoni ajabu kwa kuwa ume adopt utamaduni usio wako...
Utamaduni ndio kila kitu?, mbona sasa huendi kucheza ngoma za jadi , mbona huvai ngozi, hata kama ni utamaduni kama kitu hakina maana hakuna sbbu ya kuendelea nacho
 
hawa wash*nz wanakula bata tu afu walala hoi tunauana kwa kuwaxhabikia.... GoD DaMn....
 
kazi kweli kweli sie kwetu tumefundishwa maadili mambo ya jkt zamani.
 
Daah mama kasimamisha matiti .... Mamaa weeee!!!!
 
Asante kwa msamaha wako mamangu. Baada ya kuona umenisamehe labda nifafanue tu kidogo kukutaarifu kuwa nimeishi Amerika kwa jumla ya miaka kama minne hivi. Wakati wa Orientation ya Chuo Kikuu tulipelekwa kwenye Swimming Pool ya Mkuu wa Chuo nyumbani kwake. Nilipata shida sana na utamaduni wa wale watu. Tusichana tudogo kama wewe hivi nusu uchi kwenye swimming pool. We mastimu ya Mwafrika unayajua lakini? Sasa uniambie inakuwaje hapo kama tukiamua tunaiga kila kitu. Hizo Swimming pool hapa Bongo zitakuwa salama kweli? Kwenye foleni za kulipia umeme tu watu wahashindwa kuvumilia.

Belinda mdogo wangu; au pengine mwanangu tamaduni zinajengwa kutegemea mazingira ya watu wanaounda tamaduni husika. Maumbile, mazingira na sirka ya Mwafrika vinakataza kuiga kila kitu wanafanya wazungu. Mengine tuwaachiage tu wenyewe.

Wakati nikiwa na umri mdogo wasichana walikuwa na namna yao ya kukuambia mtoto wa kiume wanakupenda--kama kukubali kukumbatiana upenuni mwa jengo au kwenye kichaka cha michongoma ambako hakuna mtu anaona. Ilikuwa nyie wawili tu ndo mnajua mnapendana sana. Mama alimpa lip kis mtoto wake. Sikumbuki lip kiss kwa mume hadharani. Hilo lilikuwa na tatizo gani Belinda. Na ndoa za wakati ule zilidumu sana. Huko Amerika miaka ya 80 takwimu zilikuwa zinaonesha zaidi ya nusu ya ndoa zote ambazo zinafungwa huvunjika katika miaka miaka miwili.

Si kila utamaduni unafaa kuigwa!

Nimekusoma vizuri sana mkuu Highlander. hii ni picha tu tunaishangaa, mie mwenyewe sibusu mupenzi hadharani. Si unajua tamaduni tofauti na madhara yake tunayajua kwenye jamii.

Natamani kweli nijue umri wako, nimekuwa curious ghafla.
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma vizuri sana mkuu Highlander. hii ni picha tu tunaishangaa, mie mwenyewe sibusu mupenzi hadharani. Si unajua tamaduni tofauti na madhara yake tunayajua kwenye jamii.

Natamani kweli nijue umri wako, nimekuwa curious ghafla.

50something mamangu. pale Mlimani wanatuita bbc. born before computers. na wewe je?
 
Halafu ukiacha mtoto wao anayewashangaa raia wengine wako busy na mambo yao.

Usikute huyo mtoto ndio aliwaambia wafanye hivyo, majuu hamnazo.

Utajua kuwa ni mjaluo? Hiyo ndio Americano bwana, hata jamaa yangu Pazi wa mwanerumango akienda anakuwa waziri
 
Last edited by a moderator:
Usikute huyo mtoto ndio aliwaambia wafanye hivyo, majuu hamnazo.

Utajua kuwa ni mjaluo? Hiyo ndio Americano bwana, hata jamaa yangu Pazi wa mwanerumango akienda anakuwa waziri

Hayo Matangazo tu Kwao ya Uraisi. ila tusiige unajuwa Binadamu tunaweza kuona Kupigana Mabusu mazito Hazarani nikuonyesha mapenzi ya kweli ila tukumbuke kuna Wanadamu wengine hawana mpenzi tunaongelea mapenzi ya kihalali sio mapenzi yawizi ya kizinifu, Mnapokuwa wana Ndoa mnapofanya mabusu mazito ya hazarani mnaweza kufikiria mnaonyesha jamii mapenzi yetu ila kumbuka kuna ambao mnawaumiza wanatamani na wao kuwa na mtu pembeni yake kama nyie kwahiyo jitahidini msubiri mkiwa kwenu nje vipo vingi havijakatazwa, Mwisho ndio Watoto nao wanaona vitu vya kawaida ndio unakuta BOngo watoto wadogo nao wanaanza Mabusu Mazito Mitaani na Barabarani mwisho jamii inaona kitu cha Kawaida mpaka Mizizi ya kuogopa na kumpenda Mungu ya Moyo inakufa sababu tushazoea kuona uchafu na Uzinifu na kuhuruhusu. Ndio tunarudi kule Mtu anakuwa na Demu si Mke wake ila anataka kumpeleka kama kamuowa wakati Kuowa au Demu naye kuolewa hataki ila anataka anayesema BF ampeleke kama Mume then wakiibiana wanakasirika kama waliokuwa kwenye ndoa bile wakati wote walikuwa Wizi tu na wazinifu wakubwa.
 
50 bado unatesa sana na hivi ni mwanaume..mie late 20!!..kizazi cha obamacare au bbm🙂) he he

Du!... Belinda, mtoto wa mwanaume mwenzangu. Watoto wa siku hizi mnavojua kutupamba?! "Hivi sasa [mimi] ni mwanaume," unasema. Haya basi. Asante.... Uwe na siku njema binti wa mwanaume mwenzangu.
 
Du!... Belinda, mtoto wa mwanaume mwenzangu. Watoto wa siku hizi mnavojua kutupamba?! "Hivi sasa [mimi] ni mwanaume," unasema. Haya basi. Asante.... Uwe na siku njema binti wa mwanaume mwenzangu.

Pole sana mkuu kama nimechemka, nilihisi wewe ni mwanaume..all in all, nimekusoma vyema kuhusu ule ushauri wa utandawazi na mambo ya Obama kisses..usiku mwema nawe pia, lala na malaika wa Bwana!!
 
Back
Top Bottom