Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,125
- 143,616
mama yako
You gay as hell.
mama yako
Nina wasiwasi na watu kama wewe wanaopenda kuita wengine magay,wewe toka tuu kiaina usiogopeYou gay as hell.
Nina wasiwasi na watu kama wewe wanaopenda kuita wengine magay,wewe toka tuu kiaina usiogope
Hata wewe hausemi UKWELI, USA ilikuwa na Taifa la Kikristo tangu kuanzishwa kwake, kama unasema USA haijawahi kuwa Taifa la Kikristo basi labda hauelewi vizuri Historia ya Taifa hilo, kabla sijaenda mbali labda nikuulize ni kwa nini noti ya USA imeandikwa ,,In God we Trust"? Na kama unasema USA haijawahi kuwa Taifa la kidini ni kwa nini hawajawahi kupinga noti yao kuandika In God we Trust?
Halafu huu hapa chini ni Ubeti wa 4. wa Wimbo wa Taifa wa USA , hayo maneno yalitoka wapi kama USA siyo Taifa la Kikristo? Ni kwa nini hawajaupinga?
O! thus be it ever,
when freemen shall stand
Between their loved home
and the war’s desolation.
Blest with vict’ry and peace,
may the Heav’n rescued land
Praise the Power that hath made
and preserved us a nation!
Then conquer we must,
when our cause it is just,
And this be our motto:
„In God is our trust;“
And the star-spangled banner
in triumph shall wave
O’er the land of the free
and the home of the brave
Kwani GOG ni wa Christians tu? Kusema in God we trust hakuna maana ndio ukristo. Hata watu wa imani zingine wanaweza kisema hivo kama sisi tunavyosema MUNGU IBARIKI TANZANIA.....hakumaanishi kuwa nchi yetu ina dini
Soma na kuelewa kwanza kilichoandikwa ndiyo ujibu, huyo mwana JF alisema kwamba USA haijawahi kuwa nchi ya kidini tangu kuanzishwa kwake na akaenda mbali kusema kwamba hata waanzilishi wa USA hawakuwa na Dini, na ndiyo nikamuuliza hayo maswali kwamba kama USA siyo nchi ya kidini kwa nini fedha yao imeandikwa maneno kama in God we trust?, au maraisi wakiapa wanasema so help God, hata wimbo wao wa Taifa unamtaja Mungu?
Soma na kuelewa kwanza kilichoandikwa ndiyo ujibu, huyo mwana JF alisema kwamba USA haijawahi kuwa nchi ya kidini tangu kuanzishwa kwake na akaenda mbali kusema kwamba hata waanzilishi wa USA hawakuwa na Dini, na ndiyo nikamuuliza hayo maswali kwamba kama USA siyo nchi ya kidini kwa nini fedha yao imeandikwa maneno kama in God we trust?, au maraisi wakiapa wanasema so help God, hata wimbo wao wa Taifa unamtaja Mungu?
Ukichanganya na alivyomuua Gaddafi, ndio nazidi kumchoka!