Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,278
Actually Obama yupo right kabisa ! USA is not a Christian nation ! Hata founding fathers wa america waliweka wazi hilo... Na karibu wote walikuwa atheists (wasiokubaliana na uwepo wa Mungu).. Its just politics ndio iliyoifanya marekani kuwa hivi leo... Kwa mfano kutokana na mambo ya dini kuwaingia wamarekani leo hii creationism inafundishwa kwenye mashule ya serikali badala ya evolution ambao ndo msingi wa biology.. ! Hata ukiangalia upeo wa wamarekani wengi kwenye majimbo ya Texas, North Carolina etc. Ambako dini ya kikristo imeshika mizizi kiasi kwamba masomo hayawezi kuanza mpaka wasali mambo mengi hawayafahamu !Hauwezi kumtenganisha Obama na Mashoga na transgender, kwa maana kila siku analiongelea hili, hakuna raisi wa USA aliyewahi kuongelea mambo ya Ushoga kama Obama, Obama ndiye Raisi wa kwanza wa USA aliye tamka rasmi kwamba USA is no longer a christian nation!
Haya mambo yameanza zamani yalikuwepo Dunia nzima kama yalivyo mambo mengi tu lkn yamepata sauti baada ya Obama kuingia kwa maana yeye mwenyewe Obama ni muumini wa Ushoga, hilo liko wazi!
Ni kama hapa kwetu tu, mashoga wapo lkn wapo chini chini lkn siku Raisi akija na kusema wazi wazi kwamba wana haki sawa na ni sehemu ya jamii yetu na watoto shuleni wafundishwe kuhusu ushoga utaona jinsi utakavyoibuka!
Mfano mzuri ni fox news network inatangaza kujitoa kwa UK umoja wa mataifa badala ya EU !… its sad sema hayo yoote mleta mada ameliona la ushoga !
Actually Obama yupo right kabisa ! USA is not a Christian nation ! Hata founding fathers wa america waliweka wazi hilo... Na karibu wote walikuwa atheists (wasiokubaliana na uwepo wa Mungu).. Its just politics ndio iliyoifanya marekani kuwa hivi leo... Kwa mfano kutokana na mambo ya dini kuwaingia wamarekani leo hii creationism inafundishwa kwenye mashule ya serikali badala ya evolution ambao ndo msingi wa biology.. ! Hata ukiangalia upeo wa wamarekani wengi kwenye majimbo ya Texas, North Carolina etc. Ambako dini ya kikristo imeshika mizizi kiasi kwamba masomo hayawezi kuanza mpaka wasali mambo mengi hawayafahamu !Hauwezi kumtenganisha Obama na Mashoga na transgender, kwa maana kila siku analiongelea hili, hakuna raisi wa USA aliyewahi kuongelea mambo ya Ushoga kama Obama, Obama ndiye Raisi wa kwanza wa USA aliye tamka rasmi kwamba USA is no longer a christian nation!
Haya mambo yameanza zamani yalikuwepo Dunia nzima kama yalivyo mambo mengi tu lkn yamepata sauti baada ya Obama kuingia kwa maana yeye mwenyewe Obama ni muumini wa Ushoga, hilo liko wazi!
Ni kama hapa kwetu tu, mashoga wapo lkn wapo chini chini lkn siku Raisi akija na kusema wazi wazi kwamba wana haki sawa na ni sehemu ya jamii yetu na watoto shuleni wafundishwe kuhusu ushoga utaona jinsi utakavyoibuka!
Mfano mzuri ni fox news network inatangaza kujitoa kwa UK umoja wa mataifa badala ya EU !… its sad sema hayo yoote mleta mada ameliona la ushoga !
Na Obama haaamini wala sio muumini wa ushoga... Its just anajaribu kuwaonyesha the rest of the world kuwa binadamu wote ni sawa regardless of your religion, sexuality or nationality na ndo maana siku amekuja Kenya aliliweka wazi na akatoa hoja zake anazoziamini na wakati huo huo Kenyatta nae alitoa hoja zake na kila mmoja alikuwa yupo right kwa upande wake !