winnie walishaachana infact hakutakiwa hata kukaa mbele maana ni mzazi mwenzie tu!!!
Mke wa Mandela ni Graca sio Winnie!
Fanya kazi mzazi hayo hayakusaidii chochote
Aibu ya usaliti hudumu mpaka kifo kikutenganishe na dunia hii, ndicho kilichomtokea Winnie!
Acha mambo yako ya primitive?! Unafikiri huo ni msiba kama ile misiba ya kwenu ambapo mwanaume akifariki wanajitokeza wanawake 10 na watoto 20 WOTE wanadai kwamba marehemu alikuwa mme wao na baba yao respectively!
Barack Obama hafanyi mambo yake kiholela holea anaogozwa na ITIFAKI tena iliyoratibiwa na watu makini waliobobea katika fani hiyo.
Mbona mnamlaumu Winnie tu!!!!!
Mbona mnamlaumu Winnie tu!!!!!
Nicas umenena vyema,watu wanajisahau kuwa wanatenda mabaya zaidi ya Winnie, kwa upande wangu bado nakubali mchango wa huyu Mama kwa taifa lake. Hayo mengine ni udhaifu wa kiubinadamu tu.Mi nashangaa kweli wanavyomlaumu Winnie. Pamoja na yote yaliyotokea katika ndoa yake na Mandela lakini kwa hakika ana mchango mkubwa sana katika harakati za kutokomeza ubaguzi wa rangi.. Winnie bado ana heshima kubwa sana South Africa. Suala la ndoa yake na Madiba lisiondoe thamani ya juhudi zake kuwakomboa waafrika kusini..
Na Marehemu Mandela alilifahamu Hilo. Kutengana kwao mako kulikuwa katika jitihada za kuleta reconciliation katika taifa, lakini Winnie ana nafasi ya pekee katika ukombozi wa Afrika Kusini. Wanaonena vibaya Winnie, ebu waondoe miaka 27 aliyokaa gerezani Mandela na kisha waangalie ni wake wangapi alioa katika maisha aliyokuwa huru ya utu uzima. Anzia hapo kabla ya kumwita majina mabaya Winnie...Mi nashangaa kweli wanavyomlaumu Winnie. Pamoja na yote yaliyotokea katika ndoa yake na Mandela lakini kwa hakika ana mchango mkubwa sana katika harakati za kutokomeza ubaguzi wa rangi.. Winnie bado ana heshima kubwa sana South Africa. Suala la ndoa yake na Madiba lisiondoe thamani ya juhudi zake kuwakomboa waafrika kusini..