Grim Reaper
Member
- Jul 9, 2012
- 30
- 4
Ndevu.
umeona enhee, nimeipenda ulivyo maansha!
Ndevu.
wanawake inatakiwa daily coz mara ya kwanza ku do huyo gal nilye du nae alikuwa anazifuga cjui ushamba bado kidogo nikimbie nikizani anataka kujifungua nikawaza nisije singziwa mtoto bure.kwel bana, kwa wanawake cjui .
nimechekaje? to me everyweek.
Wewe angalau unanyoa mara mbili kwa mwaka.Eti hizi nywele za chini ni vizuri kuzinyoa mara ngapi kwa mwaka...
Mie mwenzenu mara mbili tu
Wewe je?
Nakutakieni weekend njema wapendwa
yarabiiiiiiiiiii
nimechekaje? to me everyweek.
Duhhhhh! hivi mpaka leo kuna watu wananyoa hizo? nilifikiri ni sisi wa zamani tu, siku hizi zinatengenezwa, zinakatwa fashion, nenda na wakati.
Sometimes huwa nawaza wangeanzisha saloon special ukienda kunyoa za kumkichwa unawakumbushia na za huko...