Kipi hakiko wazi ndugu yangu na umri wooote huo?
Anyway, napenda kuzinyoa frequently; lakini kila ninapoziona upande wa pili zimerefuka huwa zinanitia mchecheto sana.
Frequency ya kunyoa inategemea na ukuaji wa hayo mavuzi otherwise for a normal human being mara mbili kwa mwezi naona iko njema.
Kumbuka nywele houta as a result of dead cells so kama kama wanyoa mara 2 kwa mwaka then rate ya kufa kwa seli hai zako ni ndogo sana such that na nywele zaota slowly.
Ni case ya kawaida kuna jamaa hunyoa nywele za kichwani kila baada ya 2 years wakati wenzake miezi 3 inakuwa Afro Shiraz
kwa sisi wapemba tunanyoa kila asubui jioni zimeota tena!ukikaa mwezi bila kunyoa huko chini kutajaa kama manywele ya yule mchezaji wa everton aliyeifunga manchester utd anaitwa maroune fellaini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.