Nyumba za matajiri enzi za Malkia Victoria

View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller, jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.
Longtime mzee Bujibuji
 
View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller, jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.


Kwanini wanafamilia walikuwa hawashuki kwenda basement..!??
 
Lushoto kuna jumba moja nililiona linafanana na hilo alikua anaishi mzee mmoja hivi ni baharia.
 
Classes😂😅🤣
Prime class wanajichanganyaje na the low class.
Kaeni huko uvunguni


Like huko basement ni vyumba vya kulala wafanyakazi??

Mie nilivyo mfyekuneku... nyumba yangu mwenyewe halafu nisifike eneo hilo sababu ni classes mweeeh bora tuu nnavyokaa huku mbagala chumba kimoja unafika pande zote za chumba 😜😜😅
 
Like huko basement ni vyumba vya kulala wafanyakazi??

Mie nilivyo mfyekuneku... nyumba yangu mwenyewe halafu nisifike eneo hilo sababu ni classes mweeeh bora tuu nnavyokaa huku mbagala chumba kimoja unafika pande zote za chumba 😜😜😅
Chumbani kwako Kuna lipanya likubwa kuliko mbuzi, lipanya Bujibuji hili, linakuangaliaga ukitoka kuoga, ukiwa unapaka mafuta, halafu kesho Tena linakuja muda huohuo
 
View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller, jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.
Wazungu wameendelea kitambo sana
Inafikirisha sana hii race ujenzi wao ni ubunifu wa kila aina
Huku kwetu miundo ya majengo yote inafanana utadhani wachoraji wanaangaliziana
 
Wazungu wameendelea kitambo sana
Inafikirisha sana hii race ujenzi wao ni ubunifu wa kila aina
Huku kwetu miundo ya majengo yote inafanana utadhani wachoraji wanaangaliziana
Ni mifumo waliyo iweka inawasaidia. Ukisha kuwa na ajira na uhakika wa mshahara kila mwezi benki inakukopesha pesa unayoweza kununua au kujenga nyumba ya uwezo wako. Unapewa mkopo wa miaka 20-25 na ukifa deni linahamishima kwa watoto wako.

Baridi ndiyo iliwafanya wawe wabunifu, si wazungu tu hata Wareno na Waarabu nyumba ndiyo pride na muonekano wa mafanikio.
 
Ni mifumo waliyo iweka inawasaidia. Ukisha kuwa na ajira na uhakika wa mshahara kila mwezi benki inakukopesha pesa unayoweza kununua au kujenga nyumba ya uwezo wako. Unapewa mkopo wa miaka 20-25 na ukifa deni linahamishima kwa watoto wako.

Baridi ndiyo iliwafanya wawe wabunifu, si wazungu tu hata Wareno na Waarabu nyumba ndiyo pride na muonekano wa mafanikio.
Huku kwetu nyumba ya m500 cha zaidi labda itakua sababu ni ghorofa tu lakin ubunifu sifuri
 
Back
Top Bottom