Nyumba za matajiri enzi za Malkia Victoria

Kwanini wanafamilia walikuwa hawashuki kwenda basement..!??
Hawa wanafamilia waliishi kama wako hotelini. Ukiamka asubuhi maids wanatandika kitanda, ukimaliza breakfast mnatoa oder ya lunch na dinner.

Mara nyingi lunch ni sandwiches na matunda lakini dinner ni proper meal familia yote inakaa mezani na baba anaweza kukatisha mkutano ili awahi kula na familia.
 
Hawa wanafamilia waliishi kama wako hotelini. Ukiamka asubuhi maids wanatandika kitanda, ukimaliza breakfast mnatoa oder ya lunch na dinner.

Mara nyingi lunch ni sandwiches na matunda lakini dinner ni proper meal familia yote inakaa mezani na baba anaweza kukatisha mkutano ili awahi kula na familia.

Family Rules
Table Manners
Family Cultures and Taboos
Were easily adopted from one generation to another.

Kwa mfumo huo huhitaji kuwa mama wa nyumbani, unachapa kazi mashambani huko.
 
Family Rules
Table Manners
Family Cultures and Taboos
Were easily adopted from one generation to another.

Kwa mfumo huo huhitaji kuwa mama wa nyumbani, unachapa kazi mashambani huko.
Mke ndiyo house manager, ndiye mlipaji mishahara ya wafanyakazi, mnunuaji wa uniforms, mpangaji wa likizo na kuandika references kwa wanao acha kazi.
 
Mke ndiyo house manager, ndiye mlipaji mishahara ya wafanyakazi, mnunuaji wa uniforms, mpangaji wa likizo na kuandika references kwa wanao acha kazi.

Aiseeh, safi lakini it’s indirect house wife managing others to do what and how you want it to be done.
 
Aiseeh, safi lakini it’s indirect house wife managing others to do what and how you want it to be done.
Yah chef akichelewesha chakula ni lazima awe na sababu ya kumueleza madam, na mke alitakiwa kupendeza na kuwa host mzuri kukiwa na wageni. Kumbuka kuna business dinners za kuhost.
 
Yah chef akichelewesha chakula ni lazima awe na sababu ya kumueleza madam, na mke alitakiwa kupendeza na kuwa host mzuri kukiwa na wageni. Kumbuka kuna business dinners za kuhost.

Aiseeh hii ni ajira tosha ilipaswa mama naye ajitengee mshahara.

Course fupifupi za house management itakuwailikuwa kigezo cha kuchumbiwa 😅.
 
View attachment 1783251

Nyumba ilikua na basement au sakafu ya chini. Hii ilikua na wine seller, jiko la familia, chumba cha baridi kwa kuhifadhia nyama, vyoo na mabafu ya wafanya kazi dining ya wafanya kazi pamoja na vyumba vya kukala. Wafanya kazi walijumlisha House Keeper, Butlers, Chef, dereva na maids.

Ground Floor ilikua na reception, dining, na ballroom. Hapa ndipo familia iliishia, wanafamilia hawakuwa wanashuka kwenda basement. Dining iliweza kuchukua watu 20+ na baada ya chakula live performance iliwakaribisha ballroom.

Juu ilikua ni vyumba vya kulala.

Wengi walioishi maisha haya ni wafanyabiashara na wakulima wakubwa. Wale waliofanya biashara za utumwa, kuuza nafaka na wakulima wakubwa.
Besti ila huyo malkia victoria alikuwa maarufu sana. Lakini ikifika kwenye kulea watoto wake alikuwa hovyo sana. Alikuwa na mapacha akamuajiri kijakazi hili awanyonyeshe yeye hakutaka kuwanyonyonyesha. Alinyanyasa sana Kijakazi naye alikuwa na watoto wawili wadogo akawa mda mwingi alikuwa akiwanyonyesha watoto wa malkia lakini wa kwake alizuiwa kuwanyonyesha mara kwa mara . Alishikwa na stress na kucommit suicide pamoja na watoto wake kwa kuwachoma kisu kwasababu watoto wake walikuwa malnourished na wa malkia victoria walikuwa wenye afya. Inasikitisha sana. Picha hapo chini ni victoria na mapacha wake.
4553317900000578-0-image-a-4_1508000709017.jpg
 
Aiseeh hii ni ajira tosha ilipaswa mama naye ajitengee mshahara.

Course fupifupi za house management itakuwailikuwa kigezo cha kuchumbiwa 😅.
Upper class girls walikwenda Ufaransa baada ya kumaliza darasa la nane. Kule walijifunza Kifaransa, na jinsi ya ku host wageni, kupaka make up, basic book keeping etc. Mara nyingi wachumba walipatikana katika ballroom dancing.
 
Besti ila huyo malkia victoria alikuwa maarufu sana. Lakini ikifika kwenye kulea watoto wake alikuwa hovyo sana. Alikuwa na mapacha akamuajiri kijakazi hili awanyonyeshe yeye hakutaka kuwanyonyonyesha. Alinyanyasa sana Kijakazi naye alikuwa na watoto wawili wadogo akawa mda mwingi alikuwa akiwanyonyesha watoto wa malkia lakini wa kwake alizuiwa kuwanyonyesha mara kwa mara . Alishikwa na stress na kucommit suicide pamoja na watoto wake kwa kuwachoma kisu kwasababu watoto wake walikuwa malnourished na wa malkia victoria walikuwa wenye afya. Inasikitisha sana. Picha hapo chini ni victoria na mapacha wake. View attachment 1785107
Inasemekana pia alikua na mahisiano wa kimapenzi na kijakazi kutoka Pakistan enzi hizo ikiwa bado India aliitwa Abdul.
 
Upper class girls walikwenda Ufaransa baada ya kumaliza darasa la nane. Kule walijifunza Kifaransa, na jinsi ya ku host wageni, kupaka make up, basic book keeping etc. Mara nyingi wachumba walipatikana katika ballroom dancing.

Aiseeh, maisha yamebadilika sana.

Culture change from one generation to another by people copying other people life style and abandon theirs.

Kuna clip moja ya Jackie Chan anahojiwa nimechekaa.

Ni watu wachache sana wamefanikiwa kuendeleza their Family culture.
Nimewaza wale waschana ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwapeleka wakasome hizo courses, waliolewa na familia za chini wenzao.
 
Aiseeh, maisha yamebadilika sana.

Culture change from one generation to another by people copying other people life style and abandon theirs.

Kuna clip moja ya Jackie Chan anahojiwa nimechekaa.

Ni watu wachache sana wamefanikiwa kuendeleza their Family culture.
Nimewaza wale waschana ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwapeleka wakasome hizo courses, waliolewa na familia za chini wenzao.
Kwanza ilikua ni bahati sana kuolewa na mtu ambae si wa class yako lakini elimu ilibadilisha mambo mengi. Baada ya wasichana wengi kwenda university kule mnakutana watu tofauti. Hata wazazi wao wakiwakataa mnaweza kuishi kwa mishahara yenu.
 
Kwanza ilikua ni bahati sana kuolewa na mtu ambae si wa class yako lakini elimu ilibadilisha mambo mengi. Baada ya wasichana wengi kwenda university kule mnakutana watu tofauti. Hata wazazi wao wakiwakataa mnaweza kuishi kwa mishahara yenu.

Yeah....

Hata waafrika tulikuwa na hii class ya kuoana wenyewe kwa wenyewe nikimaanisha kabila na kabila na watoto hawakukaidi maana huna mahala utapata mwanamke umtakaye zaidi ya ulioishi nao kwenye kijiji kimoja au vijiji jirani vinavyoshirikiana.

Baada ya watu kuanza kutoka na kusoma shuleni na vyuoni ndo ikapunguza classes, mmatumbi anaolewa na mmakua.

Hapo mzazi mwenye sauti/nguvu ndo atakuwa kila likizo anapeleka wajukuu kwao. Muingiliano wa koo umeua Family culture inheritance, manners and sort of from one generation to another.
 
Back
Top Bottom