Likizo yangu ya kwanza kurudi bongo kutoka Denmark nilirudi na dola elfu tatu. Ilikuwa hatarii aiseee nilipozichenji. Niliitwa bilionea biga miti wake za watu sana. Nywesha maboya bia kama sina akili nzuri. Kwa mda wa wiki mbili palikuwa hapashikiki kitaa.
Zilipokaribia kuisha huyoo nikaenda mafichoni kuepuka aibu na kusibiri siku ya return ticket yangu.
Bongo badooooo sana
Tutaaminije🤔