Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Huyo unaebishana nae mwambie aache kubishana kijinga, Mukesh Ambani achana na mjengo wake
9f2a7fc3589f159eed43641404a882f5.jpeg
fa6f8e7e8e6b79a222751a522d548b58.jpeg
bbcd116b8f35878fe1725fdc19a77f57.jpeg
 
Ule wa Mzee wetu the late Mengi kule Machame nilisikia unathamani ya T 1 sijui ni kweli....wenye data mlete hapa..
 
Nyumba ya Mzee Reginald Mengi ilivyoacha watu midomo wazi hapa Ni dhahiri bado hatujayaona maisha....Kijumba tu cha million 400 mtu anasumbua nacho mtaa mzima
 
Simple and Clear, HAKUNA! Hakuna hata unaofikia Sh. 500 Billion! Just imagine ule mradi wa NSSF Kigamboni! Pamoja na watu kupiga lakini mradi mzima hata ungekamilika usingefika hata hiyo 500 Billion! Tufanye kusikia tu akina Dangote wana utajiri wa matrilioni ya shilingi!

Magu kalia weeeee, eti kisa kalala hotel ambayo gharama zake kwa siku ni kama 8M TU! Ukiwa na Trillion, halafu unaamua kuishi kwenye ile hotel, basi utaishi humo kwa angalau siku 125,000,sawa na miaka 342! Kwa maana nyingine, pamoja na ma-inflation nini na nini, bado Trilioni 1 itawawezesha watoto wachanga 3 wanaozaliwa leo kuishi kwenye hiyo hotel maisha yao yote, na chenji ya kutosha ikabaki!
Noma sana hayo mahesabu
 
Watu waliofanya watu wawe na mawazo kama hayo kufikiri kama trillion 1 ni hela ya mchezo hivyo ni maroporopo ya chadomo, walifikiri kusema kuna ufisadi wa trillion 1.5 ndani ya mwaka mmoja nchi ingechafuka.
kumbe ni chadema mi nilijua mkaguzi mkuu wa serikali ndo alitoa data hizo
 
Back
Top Bottom