Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Mk
Hio 37 iko namna tu. Bongo majengo Mengi yanakuwa Overstated ili watu wapige Hela. Hamna jengo ambalo linavuka 100B kihalali.

Hio Morroco square ni kubwa kuliko lile jengo la Tanzania House of Business? Jengo ambalo lina makao makuu ya Acacia na Huawei lile.
Mkuu mbona hayo majengi mawili siyajui Morocco Square lipo wapi na hilo Tz house of Business.
 
Kuweka thamani sawa na neno Trilion Moja yaani ni sawa na kuwa na Billion Elfu moja. yaani Bilioni ya kwanza ya pili hadi zifika Elfu moja - sasa je kuna mjengo huo hapa Bongo land ?

Nyumba hizi zetu za kawaida zinafikia mil 100 hadi 150 ambayo unaishi familia moja. ..sasa je kuna mijengo ya 1trilion
 
Topiki za kwenye vijiwe vya kahawa. Ukitoka hapo unakula wali maharage wa buku unaenda kujaza choo
 
Majengo ya B.O.T yenyewe hayafikii iyo ghalama,. Sembuse ije kwa nyumba ya kuishi..
Niliona nyumba ya billion 2 arusha njiro mmiliki ni mhindi.. lakin sio trillion.. never in africa
 
Mkuu kwanza umekosea kichwa Cha Habari, Unayozungumzia wewe siyo nyumba Tena Bali Ni ghorofa, huenda hapo ndiyo ubishi wenu unaanzia, Ila jibu Ni hapana kwa hapa Tanzania.

Morocco Square pale Dar karibu na Airtel HQ. Imegharimu Billion 500/=Tsh. Wewe unazungumzia Trillion!! Siyo kwelii.View attachment 1520619
Hili jengo nalionga tu kumbe linajina lake hapa kuna Base na shughuri gani sana.
 
Mk

Mkuu mbona hayo majengi mawili siyajui Morocco Square lipo wapi na hilo Tz house of Business.
Tanzania House of Business liko pembeni ya sheli ya victoria. Juepe refu Limekaa kama kikapu flani cha ukili.
images.jpeg





Hilo la Morroco Square ndio silijui
 
Kwa mwaka 2019/2020 budget za baadhi ya wizara zilikua:

Wizara ya Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo=Tsh. 30.88bil

Wizara ya madini=Tsh 49.46bil

Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake=TshSh148.8bil

Viwanda na biashara=Tsh 100.38bil

Wizara ya sheria=Tsh 55.18bil

Mambo ya nje=Tsh 166bil

Wizara ya Kilimo= Tsh 253.85 bilioni

Ukijumlisha hizo budget za hizo wizara 7 unapata Tsh. Bil 805 na bado zinabaki chenchi kama bil. 195 za kula bata.

Tsh.Trilioni 1 ni pesa nyingi sana mzee.
Bajeti ya Mambo ya nje imeishinda ile ya viwanda na biashara!

Na hii ni pamoja na kwamba hii ni serikali ya viwanda, na viongozi hawaruhusiwi kusafiri nje ya nchi hovyo hovyo bila ruhusa ya mkuu! Na mkuu naye hasafiri nje ya nchi kama aliyepita!😳
 
Vipi kuhusu lile jengo lambele pale baada ya Tanzanite Park ni jengo linalopendwa sana linaDeal na ishu gani ??
Last time nimepita lilikuwa under construction, sijui shughuli zinazofanyika ni zipi mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom