Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Kwanza nitoe pole kwa watanzania kwa msiba mzito uliotukuta.
Hivi kuna nyumba yenye thamani ya tshs. Trillion 1 hapa Tanzania?
Tunabishana hapa baada ya tajiri mkubwa India kumiliki mjengo wa ghorofa 7 wenye thamani ya trillion 2.3 za kobongo.
Kuna jamaa anadai posta na k.koo kuna mijengo ya thamani hiyo.
Wanaojua ukweli watujuze. Ikibidi watupe pia orodha ya majengo ya gharama zaidi duniani na bongo pia. Karibuni.
Watanzania bwana.Haya nadhani ni matokeo ya idleness.Badala ya kuhangaika ukapata cha kwako unajadili na kusifia vya wenzako.Hovyo kabisa.
 
Likizo yangu ya kwanza kurudi bongo kutoka Denmark nilirudi na dola elfu tatu. Ilikuwa hatarii aiseee nilipozichenji. Niliitwa bilionea biga miti wake za watu sana. Nywesha maboya bia kama sina akili nzuri. Kwa mda wa wiki mbili palikuwa hapashikiki kitaa.

Zilipokaribia kuisha huyoo nikaenda mafichoni kuepuka aibu na kusibiri siku ya return ticket yangu.

Bongo badooooo sana
 
Lile jengo la TPA lenye ghorofa 40 ambalo linasemekana mpk kukamilika kwake litakua ndio jengo refu E/Africa limegharimu Tsh bil 120,sasa hayo ya Kariakoo yanayofikia tril 1 sijui yatakua yakoje mkuu.
Halijafika T. Alafu lile jengo interior design yake ni mbaya sana
 
inategeme na material aliyo tumia, decoration, na facilities alizo install humo ndani pia na gharama za ujenzi zipo tofauti kulingana na sehemu moja hadi nyingine
eg. vijumba vingi tunavyo miliki wengi wa kima cha chini gharama yake hazi zidi vibanda vya walinzi vilivyo jengwa kwenye mijumba ya wenye navyo u can imagine
 
Munaongelea 1trillion? Hahaha hapa kuna watu wanasema bora wangekua majeruhi wa ajari ya moto wajipatie laki 5 za mkuu...

Trillion moja ni nyingi mno..nakazia! Mno.
 
Nyumba ya Mzee Reginald Mengi ilivyoacha watu midomo wazi hapa Ni dhahiri bado hatujayaona maisha....Kijumba tu cha million 400 mtu anasumbua nacho mtaa mzima
Sijakuelewa apo kwa Mengi
 
Back
Top Bottom