Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

Bongo jengo kama jengo la thamani ya Trillion 1 sidhani kama lipo.
lipo hili Hapa

1565448206129.png


Aliyechora hiyo ramani ni mmarekani architect bora zaidi duniani aliyechora nyumba ya donald trump

Nyasi hizo zilizoezekwa zilinunuliwa ufaransa kwenye duka gali sana la kuuza nyasi bora duniani na zilisafirishwa kwa ndege ya kukodi ya AIR FRANCE

Hizo fito zilinunuliwa brazil zikaletwa na ndege ya kukodi ya ethiopian airline

milango ilinunuliwa china na kuletwa na ndege ya kukodi ya china

kampuni iliyojenga ni ile iliyojenga majengo ya umoja wa mataifa

udongo uliotumika kujenga ulinunuliwa ujerumani ukaletwa kwa ndege ya kukodi swiss air

vibarua waliotumika ni kutoka japan kila mmoja alilwetwa kwa ndege ya kukodi



hiyo nyumba mpaka kukamilika hapo imetumia trilioni moja
 
Hahah mzee baba hakuamini bongo hii hii kuna hotel ya 8mil/day pamoja na kubana kote hahah,kuna hotel flani iko kule Serengeti minimum room rate ni $2100/day na through out the year iko booked kwa 90% na sio hata wazungu ndo wanaijaza karibu 40% ni wabongo tu wanaenda zao kula good time.

Maisha haya yana ma-gap kinyama.
Inaitwa Sangita, mkuu
 
Bila shaka unaongelea mjengo wa Mukeshi wa India.

Utajiri wa $1bil ndio anao tajiri wa Kwanza wa kibongo kibongo hapa ,leo ndo aje ajengee nyumba tu mkuu,hahah utaua bendi mkuu.
Mada yake imekosa mantinki bingo kuna ma milionea tu hakuna bilionea kabisa OG
 
soko kuu la kariakooo nasikia lilijengwa kwa 1.23T maana kule chini kuna mambo adimu sanaa,

sitaki mtu abishee haya ni mawazo yangu tusiingiliane mambo.
kuna watu wanapenda kubisha bisha hata ukweli.
 
Kwanza nitoe pole kwa watanzania kwa msiba mzito uliotukuta.
Hivi kuna nyumba yenye thamani ya tshs. Trillion 1 hapa Tanzania?
Tunabishana hapa baada ya tajiri mkubwa India kumiliki mjengo wa ghorofa 7 wenye thamani ya trillion 2.3 za kobongo.
Kuna jamaa anadai posta na k.koo kuna mijengo ya thamani hiyo.
Wanaojua ukweli watujuze. Ikibidi watupe pia orodha ya majengo ya gharama zaidi duniani na bongo pia. Karibuni.
Hakuna jengo bongo lenye thamani ya trillion moja
 
Huyo anayekuambia dar kuna nyumba ya trillion moja hana uelewa wa hela ansfikiria trillion moja ni hela ya mchezo
thanx mkuu jamaa tulibishana sana, nilimpa evidence za miradi kadhaa mikubwa mf. Uwanja wa taifa, brt,. Kigamboni bridge na mingineyo imecheza kwenye bill 50, 214, nk bado mbishi
 
Watu waliofanya watu wawe na mawazo kama hayo kufikiri kama trillion 1 ni hela ya mchezo hivyo ni maroporopo ya chadomo, walifikiri kusema kuna ufisadi wa trillion 1.5 ndani ya mwaka mmoja nchi ingechafuka.
na huwa nawalaumu sana.kama bili 350 za escrow zilibebwa mpaka kwa viroba,zikashindikana kabisa kufichwa.anakuja nugu mmoja anataka watu waamini 1.5 tri zimeibwa!!!!
 
lipo hili Hapa

View attachment 1177722

Aliyechora hiyo ramani ni mmarekani architect bora zaidi duniani aliyechora nyumba ya donald trump

Nyasi hizo zilizoezekwa zilinunuliwa ufaransa kwenye duka gali sana la kuuza nyasi bora duniani na zilisafirishwa kwa ndege ya kukodi ya AIR FRANCE

Hizo fito zilinunuliwa brazil zikaletwa na ndege ya kukodi ya ethiopian airline

milango ilinunuliwa china na kuletwa na ndege ya kukodi ya china

kampuni iliyojenga ni ile iliyojenga majengo ya umoja wa mataifa

udongo uliotumika kujenga ulinunuliwa ujerumani ukaletwa kwa ndege ya kukodi swiss air

vibarua waliotumika ni kutoka japan kila mmoja alilwetwa kwa ndege ya kukodi



hiyo nyumba mpaka kukamilika hapo imetumia trilioni moja
[emoji3][emoji3] daah..!
 
Back
Top Bottom