Mfano: Nyumba ya vyumba 3 master, chumba kimoja single,sebule ,dining, vibaraza 2 na public toilet 1
👉Vyumba 3 master vya futi 12×12
Itakua (12×12) × 3 = 288 square Futi
👉Chuma 1 single Cha futi 9×9
Itakua (9×9) × 1= 81 square futi
👉Sebule yenye Futi 15×15
Itakua (15×15) × 1= 225 square Futi
👉Dining yenye Futi 10×8
Itakua (10×8) × 1= 80 square Futi
👉Vibaraza 2 vya futi 5×10
Itakua (5×10) × 2 = 100 square futi
👉Public toilet 1 ya futi 5× 7
Itakua (7× 5) × 1= 35 square Futi
Kisha,
Utajulisha square Futi zote pamoja:-
288+81+225+80+100+35= 809 square Futi
Hizo 809 sqFt ndizo skwea futi za nyumba Yako yote.
Baada ya hapo,
utagawanya hizo square futi Kwa 144
YAANI, 809÷144= 5.62
Kisha utamalizia Kwa kuzidisha Kwa 12.
YAANI, 5.62× 12= 67.42, approximately 68.
Hizo 68 ndizo idadi ya bati zinazohitajika kwenye nyumba Yako yote.