Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Haujengi wewe, hicho kiwanja nigawie tu mie nilime mihogoNaomba ramani ya hako kajumba na mie nijenge mzeya
Haujengi wewe, hicho kiwanja nigawie tu mie nilime mihogoNaomba ramani ya hako kajumba na mie nijenge mzeya
zipo bati za kila aina na kuna bati.pia alaf za 42,000 au nenda kwa wachina zipo moaka za 30,000 nazo ni nzuri tu kwenye bati machaguzi yapo mengi,mie nakushauri piga kenchi kwanza,fundi akupimie saizi ya kenchi nenda kiwandani watakutengenezea bati saizi na kenchi yakoAisee hatari sana halafu jamaa wa alaf wanauza bati Moja bei 81000
Embu acheni kumtisha, nimepaua nyumba juzi tu ya vyumba vitatukupaua hesabu haifanywi hivyo,hesabu ya bati hutokana na aina ya kenchi au mtindo wa kenchi ulivyopiga,ila kaa ukijua kenchi na bati ni gharama kubwa na kwa wastani sio chini ya milioni 10
Sema hapo choo nimekitoa na nimekiweka public maana yake katikati Kuna Korido mkuukama ni hako ni bati 25
Duuh kidogo umenipa moyo mkuuEmbu acheni kumtisha, nimepaua nyumba juzi tu ya vyumba vitatu
Bati peke yake za ALAF ata milioni tatu haikufika, tena hizo ni zile za migongo myembamba.
MKUU NENDA ALAF achana na wababaishaji huko mtaani
sawa ni bati 25 tuSema hapo choo nimekitoa na nimekiweka public maana yake katikati Kuna Korido mkuu
Ujenge sasa wakati duniani hatuna mji udumuoNaomba ramani ya hako kajumba na mie nijenge mzeya
bati 25 labda kwa mgongo wa tembokama ni hako ni bati 25
Ni paa nne ila mkuu sio hidden roofsawa ni bati 25 tu
ok basi kwa uhakika tafuta fundinwa kupaua atakupa hesabu kamiliNi paa nne ila mkuu sio hidden roof
Okayok basi kwa uhakika tafuta fundinwa kupaua atakupa hesabu kamili
Hakuna namna zaidi yahii vinginevyo ipeleke ramani ukapigiwe hesabu utoe nahelaOkay
Achana na bati za kupima,kama unajenga nyumba ndogoNaombeni Kwa mlliojenga au mafundi mnaojua chumba sebule jiko choo inaingia bati mita ngapi maana nimeuliza bati naona kichwa kinawaka moto aisee mwenye kujua anisaidie nimeuliza alafu mita 1 Bei 27000 kwahiyo bati Moja Lina mita 3 sawa na 81000 jumla hii ni hatari aisee
Kwanini mkuu nipe elimu Mimi sijui Chochote kwenye hii sekta jamii forum ndio msaada wanguAchana na bati za kupima,kama unajenga nyumba ndogo
Hao wanaokwambia MITA ni elfu 27, watakua madalaliKwanini mkuu nipe elimu Mimi sijui Chochote kwenye hii sekta jamii forum ndio msaada wangu