Nyumba ya chumba, sebule, jiko, choo inaingia bati mita ngapi?

Nyumba ya chumba, sebule, jiko, choo inaingia bati mita ngapi?

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,886
Reaction score
17,592
Naombeni Kwa mlliojenga au mafundi mnaojua chumba sebule jiko choo inaingia bati mita ngapi maana nimeuliza bati naona kichwa kinawaka moto aisee mwenye kujua anisaidie nimeuliza alafu mita 1 Bei 27000 kwahiyo bati Moja Lina mita 3 sawa na 81000 jumla hii ni hatari aisee
 
Msaada wa pesa au????😂😂😂 Unazingua, jana umeandika watu tukatiririka hadi screenshot ya mahesabu niliweka leo tena???!!!

Kama pesa haitoshi tulia inywe kwanza wakati unatafuta nyingine
Duuuh
 
Naombeni Kwa mlliojenga au mafundi mnaojua chumba sebule jiko choo inaingia bati mita ngapi maana nimeuliza bati naona kichwa kinawaka moto aisee mwenye kujua anisaidie nimeuliza alafu mita 1 Bei 27000 kwahiyo bati Moja Lina mita 3 sawa na 81000 jumla hii ni hatari aisee
kupaua hesabu haifanywi hivyo,hesabu ya bati hutokana na aina ya kenchi au mtindo wa kenchi ulivyopiga,ila kaa ukijua kenchi na bati ni gharama kubwa na kwa wastani sio chini ya milioni 10
 
kupaua hesabu haifanywi hivyo,hesabu ya bati hutokana na aina ya kenchi au mtindo wa kenchi ulivyopiga,ila kaa ukijua kenchi na bati ni gharama kubwa na kwa wastani sio chini ya milioni 10
Kwamfano upauaji wa apa nne nyumba yenye sebule 5m+5m chumba 5m+5m jiko 2m+2m Choo 2m+2m zinaingia bati ngapi mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20250308-123009.jpg
    Screenshot_20250308-123009.jpg
    176 KB · Views: 30
Naombeni Kwa mlliojenga au mafundi mnaojua chumba sebule jiko choo inaingia bati mita ngapi maana nimeuliza bati naona kichwa kinawaka moto aisee mwenye kujua anisaidie nimeuliza alafu mita 1 Bei 27000 kwahiyo bati Moja Lina mita 3 sawa na 81000 jumla hii ni hatari aisee
Naomba ramani ya hako kajumba na mie nijenge mzeya
 
Back
Top Bottom