Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Mkuu samahani nilikuwa sijaona hii post yako b4......lol mkeo mpeleke kwa Kakobe akaombewe aisee...Namtoa outing tunatumia siku 4 hotelini, bado hata huko ananyima, hadi nikawaza ni pepo au ni nini? Hadi nimefikia kuamini kuwa hakuna ninachoweza kufanya ili mke wangu anipatie unyumba kama inavyopasa, angalao basi kama alivyokuwa ananipa alipokuwa anabembeleza kuolewa! Sasa hapo nisiwe na nyumba ndogo sababu gani?
mkuu nakupa go ahead tena kama uko tayari kuna mabinti makini nawajua watakufaa nikuonganishie....kabla ya kulianzisha waite wasimamizi wa ndoa waeleweshe kisha baadae lianzishe....mkeo abakie kuwa mtunzaji wa mali za nyumbani na watotoHapa sasa hivi mie sina nyumba ndogo, ni kwa sababu tu sijapata mwenye vigezo ninavyohitaji, lakini nikimpata na mimi nalianzisha!