Nyumba ndogo jamani

Wanaukumbi kwa kawaida suala la kutosheka na kutosheka ndio linalosababisha kuweko kwa nyumba ndogo. Tukizungumzia nyumba ndogo kwa wale waendao nje ya ndowa tutaona kuwa kile kitendo cha kuacha mkeo na kwenda kutafuta mwanamke mwengine kinaletwa na kasoro ndani ya nyumba kubwa. Kasoro hiyo si lazima iwe kwa mwanamke tu bali hata mwanamume. kwa mfano mwanamume hana time na utunzaji wa watoto hivyo huamuwa kutafuta mwanamke mwengine kuepuka kero ya watoto.Pengine kutokana na passage ya watoto mara kwa mara nyama hupoteza uasilia wake na bwana anapenda nyama yenye mnato hivyo atatafuta nyumba ndogo kufuatia mnato. Pengine kweli mwanamke anaboreka na kujiona ameshafika hivyo haihitaji nguvu za ziada kama zilizohitajika wakati wa kumnasa Bwana kabla ya ndowa.
Sasa maadam kushaingia kasoro basi ni jambo la kawaida kwa huyu Bwana kutumia wakati wake mwingi huku kwenye nyumba ndogo na kwa vile wanaume ni rahisi kueleza kinachomkera nyumba kubwa bibi wa nyumba ndogo hujitahidi asirudie makosa ya bi mkubwa na hivyomapenzi huendelea.
 
...toto ambalo nyumbani bishi kula, lakini kwa jirani linaramba mpaka sahani, ujue tabia hiyo ataendelea nayo mpaka ukubwani!
 
Mh watahangaika kuzunguka bucha nyama ni ile ile........

Wapo wataosema kuwa nyumba kubwa wanajisahau but angalia kiwango cha majukumu alonayo mama mkubwa na mama mdogo.

mama mkubwa ana familia (iloletwa na huyo baba) hivyo majukumu yake yanaongezeka kiasi kwamba hana muda zaii ya ule wa kujiswafi. Mama mkubwa ataupata wapi muda wa kufanya ya nyumba ndogo?

Bi Mkubwa
1. Hana muda wa kujifukisha manukato huko kwa bibi ili kwamba bwana akija akutamani. Muda huo anautumia kuwapikia wanae na familia au hata kushughulikia watoto

----- Nyumba ndogo yenyewe ah plenty of time (Hana familia wala mtoto) so anaweza kuwa na muda hata wa kushinda kiooni akijipodoa

2. Nyumba yake haimpi nafasi ya kumpet bwana. Nyumba imejaa watoto na ndugu saa ngapi utambeba bwana mgongoni umpepeke bafuni?. Mtawezaje kujivinjari mpendapo makochini, jikoni au barazani wakati kila sehemu kuna watoto.

------- Nyumba ndogo kwake ah yu peke yake akiamua kukupea ukumbini aha. Akiamua kukufanyia strip show ah kwa raha ake hagombwi.

ama kweli mwanaume ni kama mtoto dogo.

3.

MJO, hayo uliyoyaandika hapo juu kuhusu mama wa nyumba kubwa kutokuwa na muda ni kweli kabisa. Na sasa hivi katika nchi nyingi za magharibi kumeanza kuwa na kundi la wanandoa (Mke na Mume) ambalo halitaki watoto katika ndoa zao.

Hili kundi linaongezeka kwa haraka sana. Wanataka maisha yao yasiingiliwe kabisa na majukumu ya kulea watoto. Mwanzoni nilidhani hawa ni wazungu tu lakini katika kuongea na marafiki mbali mbali nimegundua kwamba wapo pia weusi, wahindi na wengineo. Labda si muda mrefu yataingia na kwetu, lakini kuwa wanandoa bila watoto...Hmmmm! hili lina ugumu kulikubali, lakini jamii zetu zinabadilika labda miaka michache ijayo litakuwa si jambo geni.
 
MJO, hayo uliyoyaandika hapo juu kuhusu mama wa nyumba kubwa kutokuwa na muda ni kweli kabisa. Na sasa hivi katika nchi nyingi za magharibi kumeanza kuwa na kundi la wanandoa (Mke na Mume) ambalo halitaki watoto katika ndoa zao.

Hili kundi linaongezeka kwa haraka sana. Wanataka maisha yao yasiingiliwe kabisa na majukumu ya kulea watoto. Mwanzoni nilidhani hawa ni wazungu tu lakini katika kuongea na marafiki mbali mbali nimegundua kwamba wapo pia weusi, wahindi na wengineo. Labda si muda mrefu yataingia na kwetu, lakini kuwa wanandoa bila watoto...Hmmmm! hili lina ugumu kulikubali, lakini jamii zetu zinabadilika labda miaka michache ijayo litakuwa si jambo geni.

Kuwa na watoto ni u-primitive.
 
Kwa kusoma maoni ya wachangiaji wengi, shutuma nyingi zimeelekezwa kwa akina mama. Kwanini iwe hivi? Kwenye ndoa (halali na za Kikristo) una wanahisa wakubwa wawili tu, mume na mke. Chochote kitakachokwenda kombo ni lazima kiwahusishe wote wawili hawa. Kama mwanamama na matatizo hii haimpi haki wala sababu mwanaume kwenda nje ya ndoa yake. Na katika ndoa sio mwanamke tu anayetakiwa ampe mwenzake vitu vya kuboresha na kudumisha mahusiano hayo, hii ni kazi ya wote wawili.
 
Mimi nadhani pasiwe na nyumba kubwa yaani hakuna kuishi kama mume na mke ni bora mtembeleane tu ili kila mmoja awe na nyumba ndogo.

Onyo:
Ikifikia hivyo wanaume wakibongo mmeumia, maana kuna nchi moja inaonyesha rate ya single life imeongezeka sana. Wanawake wote wamekaa mkao wa kuchuna tu, hawataki kuwekwa kama nyumba kubwa. Wadada ndo waamuzi kwamba leo uje au usije. Na usiingilie privarcy yake. Akina baba wamekuwa waoga sana. Ukizungumzia mwanamke means MONEY. Hapendwi mtu. Watanzania tuna mengi ya kujivunia mazuri ila yakiharibiwa basi tena sijui tutayarudisha vipi.

Wakenya wamegundua kujiolewa wadada wa Tanzania, pia Uganda. msisitizo wao EA ni pamoja na kujipatia wadada wenye hadhi ya kuwa wife. Maana huko kwao wansema wamama wamechanuka. Wacha akinadada wa kibongo nao wachanuke.
 
Mimi nadhani pasiwe na nyumba kubwa yaani hakuna kuishi kama mume na mke ni bora mtembeleane tu ili kila mmoja awe na nyumba ndogo.

Onyo:
Ikifikia hivyo wanaume wakibongo mmeumia, maana kuna nchi moja inaonyesha rate ya single life imeongezeka sana. Wanawake wote wamekaa mkao wa kuchuna tu, hawataki kuwekwa kama nyumba kubwa. Wadada ndo waamuzi kwamba leo uje au usije. Na usiingilie privarcy yake. Akina baba wamekuwa waoga sana. Ukizungumzia mwanamke means MONEY. Hapendwi mtu. Watanzania tuna mengi ya kujivunia mazuri ila yakiharibiwa basi tena sijui tutayarudisha vipi.

Wakenya wamegundua kujiolewa wadada wa Tanzania, pia Uganda. msisitizo wao EA ni pamoja na kujipatia wadada wenye hadhi ya kuwa wife. Maana huko kwao wansema wamama wamechanuka. Wacha akinadada wa kibongo nao wachanuke.

Wacha wachanuke babu...hawa wanaume walizidi kututenda mno...kwa madai yao eti wanaona rate yao ya uwingi duniani inapungua...hata ijefika rate ya 1 man to 50 women still mtabakia kuwa wanaume na sheria ndo zitazidi kutungwa. Another good advantage to women kama mmepitia mambo ya kikubwa room, nadhani mmejionea wenyewe kuna viumbe wanawake wenye somesing mbili...ambapo ndo watako fidia pengo lenu! Mnatakiwe mjirudi kwa bwana maana inaelekea ndo mnaishia hivyo...nendeni mukaungame, lol;)
 
That is a nature of MAN to hunt. Hatosheki na mmoja hata sikumoja.
With all due respect
I beg to differ.
Mwana wa Mtu anaweza kuchukua Nyumba Ndogo kutokana na sababu mbalimbali apart from Tamaa au Mapenzi anayopewa na hiyo Nyumba Ndogo.Mfano wa sababu hizo ni:
1.Ugonjwa wa muda mrefu (kwa upande wa Mkewe)
2.Matatizo ya Mawasiliano ndani ya Nyumba(DHARAU NA MALALAMIKO YASIYOISHA)
3.Ukosefu wa Fedha ndani ya Nyumba.(Kuna nyumba ndogo zinatunza waume za watu anachohitaji yeye ni mbegu yako tu.Akipata mtoto wake mmoja anamtosha hana wazo la kuolewa)
4.Nakadhalika
 
shutuma nyingi zimeelekezwa kwa wanawake hii ni kutokana na mfumo dume ambao tuliurithi tangu kwa mababu! ukweli unabaki pale pale kuwa hata wanaume nao kwa kiasi kikubwa wanaabudu sana nyumba ndogo! wapo ambao kila kukicha ni ku explore nyumba ndogo kiasi kwamba si nyumba ndogo tena bali ni vyumba vidogo! TAMAA ... then, kadri utandawazi unavyosonga ndivyo na kinadada nao wanafunguka na kuwa na mtazamo tofauti zaidi..jiulize ni kwa nini zamani suala la nyumba ndogo halikuwa kama ilivyo hivi sasa?! ..jibu rahisi ni mfumo dume..wanawake walikuwa ni wa kufuata/kufanya tu yale ambayo mume anataka..no sauti! siku hizi mambo tofauti..kina mama wana sauti na misimamamo matokeo kinababa wanaona wanadharauliwa solution small house ambazo mwisho wa siku stress juu ya shinikizo!pia kinamama nao (hasa wale waliokwenda shule) wamepitiliza..wanakuwa kama wanalipa visasi...kupika no,kufua machine (anafanya house girl), kudeki chumba hause girl, maji ya baba kuoga house girl, watoto shule na kucheki homework house girl nakadhalika! wao hawana time mara meeting a friend, colleague mara drink with my pals ets...hivi ni nini kitamzuia baba mwenye mke dizaini hii kuwa na nyumba ndogo???! tena kwa kuanzia anamu-upgrade house girl kwanza then anakuwa na mwingine wa mtaani...kama sio wawili au zaidi
 
Tangu nachumbia mwanamke anajua kuwa napenda ngono sana. Tunaoana ananipa vizuri tu. Baada ya kuona sasa keshajikita ndani, anaanza kunibania na visingizio kibao mara ooh nimechoka, ati unataka kila siku nk. Wakati mwingine nikiomba najibiwa 'jana si nilikupa, unataka na leo tena?' Sasa mtu kama huyu anategemea nini, kwa nini nisiwe na nyumba ndogo? Haya yanayosemwa ya uchovu, watoto, kukosekana nafasi nyumbani ni visingizio tu. Mie nina nyumba ya kutosha na bed room yangu ina nafasi, na watoto wana vyumba vyao, nanyimwa kwa sababu gani? Namtoa outing tunatumia siku 4 hotelini, bado hata huko ananyima, hadi nikawaza ni pepo au ni nini? Hadi nimefikia kuamini kuwa hakuna ninachoweza kufanya ili mke wangu anipatie unyumba kama inavyopasa, angalao basi kama alivyokuwa ananipa alipokuwa anabembeleza kuolewa! Sasa hapo nisiwe na nyumba ndogo sababu gani?

Hapa sasa hivi mie sina nyumba ndogo, ni kwa sababu tu sijapata mwenye vigezo ninavyohitaji, lakini nikimpata na mimi nalianzisha!
 
Tangu nachumbia mwanamke anajua kuwa napenda ngono sana. Tunaoana ananipa vizuri tu. Baada ya kuona sasa keshajikita ndani, anaanza kunibania na visingizio kibao mara ooh nimechoka, ati unataka kila siku nk. Wakati mwingine nikiomba najibiwa 'jana si nilikupa, unataka na leo tena?' Sasa mtu kama huyu anategemea nini, kwa nini nisiwe na nyumba ndogo? Haya yanayosemwa ya uchovu, watoto, kukosekana nafasi nyumbani ni visingizio tu. Mie nina nyumba ya kutosha na bed room yangu ina nafasi, na watoto wana vyumba vyao, nanyimwa kwa sababu gani? Namtoa outing tunatumia siku 4 hotelini, bado hata huko ananyima, hadi nikawaza ni pepo au ni nini? Hadi nimefikia kuamini kuwa hakuna ninachoweza kufanya ili mke wangu anipatie unyumba kama inavyopasa, angalao basi kama alivyokuwa ananipa alipokuwa anabembeleza kuolewa! Sasa hapo nisiwe na nyumba ndogo sababu gani?

Hapa sasa hivi mie sina nyumba ndogo, ni kwa sababu tu sijapata mwenye vigezo ninavyohitaji, lakini nikimpata na mimi nalianzisha!

Na ikiwa ni mwanamke naye amekupatia vyote hivyo na wewe unambania kumpa haki yake naye akifanya hivyo ni sawa kwako?
 
...
Na ikiwa ni mwanamke naye amekupatia vyote hivyo na wewe unambania kumpa haki yake naye akifanya hivyo ni sawa kwako?

...vyote vipi, au mimi sijamuelewa Mtu? iwapo angekuwa anapewa haki yake, yeye angemyima vipi mkewe?

Tangu nachumbia mwanamke anajua kuwa napenda ngono sana. Tunaoana ananipa vizuri tu. Baada ya kuona sasa keshajikita ndani, anaanza kunibania na visingizio kibao mara ooh nimechoka, ati unataka kila siku nk. Wakati mwingine nikiomba najibiwa 'jana si nilikupa, unataka na leo tena?' Sasa mtu kama huyu anategemea nini, kwa nini nisiwe na nyumba ndogo? Haya yanayosemwa ya uchovu, watoto, kukosekana nafasi nyumbani ni visingizio tu. Mie nina nyumba ya kutosha na bed room yangu ina nafasi, na watoto wana vyumba vyao, nanyimwa kwa sababu gani? Namtoa outing tunatumia siku 4 hotelini, bado hata huko ananyima, hadi nikawaza ni pepo au ni nini? Hadi nimefikia kuamini kuwa hakuna ninachoweza kufanya ili mke wangu anipatie unyumba kama inavyopasa, angalao basi kama alivyokuwa ananipa alipokuwa anabembeleza kuolewa! Sasa hapo nisiwe na nyumba ndogo sababu gani?

Hapa sasa hivi mie sina nyumba ndogo, ni kwa sababu tu sijapata mwenye vigezo ninavyohitaji, lakini nikimpata na mimi nalianzisha!
 
Tangu nachumbia mwanamke anajua kuwa napenda ngono sana. Tunaoana ananipa vizuri tu. Baada ya kuona sasa keshajikita ndani, anaanza kunibania na visingizio kibao mara ooh nimechoka, ati unataka kila siku nk. Wakati mwingine nikiomba najibiwa 'jana si nilikupa, unataka na leo tena?' Sasa mtu kama huyu anategemea nini, kwa nini nisiwe na nyumba ndogo? Haya yanayosemwa ya uchovu, watoto, kukosekana nafasi nyumbani ni visingizio tu. Mie nina nyumba ya kutosha na bed room yangu ina nafasi, na watoto wana vyumba vyao, nanyimwa kwa sababu gani? Namtoa outing tunatumia siku 4 hotelini, bado hata huko ananyima, hadi nikawaza ni pepo au ni nini? Hadi nimefikia kuamini kuwa hakuna ninachoweza kufanya ili mke wangu anipatie unyumba kama inavyopasa, angalao basi kama alivyokuwa ananipa alipokuwa anabembeleza kuolewa! Sasa hapo nisiwe na nyumba ndogo sababu gani?

Hapa sasa hivi mie sina nyumba ndogo, ni kwa sababu tu sijapata mwenye vigezo ninavyohitaji, lakini nikimpata na mimi nalianzisha!


MMhhh.. wonders shall never end! Kumbe kuna matatizo genuine hapa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom