Naomba kuuliza wenye wake zaidi ya 1,nina imani huyu wa 2 ,lazima wakati fulani alikuwa nyumba ndogo,je ukimuoa ukamuweka ndani anaendelea na mapigo ya nyumba ndogo au naye anakuwa nyumba kubwa na kuacha kabisa zile mbinu zake alizokuwa akizitumia alipokuwa nyumba ndogo kiasi kwamba unaanza kufikiria nyumba ndogo ya 3 na kuendelea?