Nyumba ndogo jamani

Naomba kuuliza wenye wake zaidi ya 1,nina imani huyu wa 2 ,lazima wakati fulani alikuwa nyumba ndogo,je ukimuoa ukamuweka ndani anaendelea na mapigo ya nyumba ndogo au naye anakuwa nyumba kubwa na kuacha kabisa zile mbinu zake alizokuwa akizitumia alipokuwa nyumba ndogo kiasi kwamba unaanza kufikiria nyumba ndogo ya 3 na kuendelea?
 
Wakati wa tendo la ndoa sema unataka nini? Tatizo mawasiliano na uoga!..Unataka ufanyiwe pedicure sema,ukunwe mgongo sema!.

Dada Belinda.
Unajua kuna kitu siku hizi kinaitwa tiGo?
Mme akikwambia anataka tiGo upo radhi ummpe au utamnyima?Na ukimnyima anaenda kwa nyumba ndogo anajisevia.
 
Kama nyumba ndogo ndio jibu la matatizo yako kwanini mtu huipasishi kuwa nyumba kubwa ukaachana na hiyo inayodaiwa ni nyumba kubwa ambayo haitimizi wajibu wake, assumption hapa ni wanawake tu ndio hawatimizi wajibu wao.
Je, ni nini sababu ya wengine kuwa na nyumba ndogo zaidi ya moja au mbili? Nalo ni kutotimiziwa? Au ni tabia tu za uzinzi watu tunaendekeza?
 
Dada Belinda.
Unajua kuna kitu siku hizi kinaitwa tiGo?
Mme akikwambia anataka tiGo upo radhi ummpe au utamnyima?Na ukimnyima anaenda kwa nyumba ndogo anajisevia.

Fidel
Ndo mana nimesema wanaume wanaenda nyumba ndogo kwa sababu kubwa ya ngono kikubwa zaidi hiyo TG. Fikiria tangu mke na mume wanadate mpaka uchumba hawaruki ukuta halafu leo mwanaume ataanzaje kuomba kwa mkewe lazima aone aibu na kuwa na uoga kuwa atafikiriwaje!?...

Japo naamini kuwa wanandoa wanapeana TG! Ila kuna kitu kuridhika,ukiridhika na ulichonacho hutaangaza macho nyumba ndogoz!
 
Dada Belinda.
Unajua kuna kitu siku hizi kinaitwa tiGo?
Mme akikwambia anataka tiGo upo radhi ummpe au utamnyima?Na ukimnyima anaenda kwa nyumba ndogo anajisevia.


bado siamini kama tigo ni kinga muhimu ya ndoa.
 
bado siamini kama tigo ni kinga muhimu ya ndoa.

Tatizo lako Nyamayao mbishi toka kule msome Belinda hapo juu.Na yule rafiki yako kamkosa mchumba kwa ajili ya tiGo jamaa alitaka kujiexpress yeye akaona kama dhambi.
 
Japo naamini kuwa wanandoa wanapeana TG! Ila kuna kitu kuridhika,ukiridhika na ulichonacho hutaangaza macho nyumba ndogoz!

Hapa dada Belinda umenena lakini naomba umpe darasa hata huyu Nyamayao mzee wake atahamia nyumba ndogo kabisa lol!!!
 
Nyumba ndogo ni ndogo na nyumba kubwa ni kubwa .

kujenga nyumba kubwa gharama ?? naamini umekubali ?
kujenga nyuma ndogo gharama yake iko chini kidogo . wongo??

sasa kama ndivyo nahisi hawa jamaa wakienda huko kwenye nyumba ndogo huwa wana nasa kwa kuwa ni cheeeee??!!!!

balaa lake ni kwamba by the time anakujarealize anakuwa amechelewa inakuwa miguu juu kichwa chini .
yani watoto pindu !
nyumba kubwa chali?
yeye mwenyewe hovyo ?

wewe ulitoa ushauri huu
(Wewe umeoa?if yes, ndoa yako ina muda gani?

Kama ndoa yako ina umri wa zaidi ya miaka mitano......try wewe mwenyewe small house...nakwambia utachonga mzinga huko!)

by the time amechonga mzinga nyuki nao wanakuwa hawapo, mzinga unakuwa hauna kazi inakuwa back to square 1 . kaa huko2 kwa nyumba kubwa mkubwa usijeumbuka .
 
Hapa dada Belinda umenena lakini naomba umpe darasa hata huyu Nyamayao mzee wake atahamia nyumba ndogo kabisa lol!!!


na afike salama, duniani tunaishi mara moja tu tuendako hatukujui, kama anaona starehe yake ataipata huko kwingine then kwanini asiifate? na mie hiyo sio starehe/raha yangu kufanya hicho kitendo so ctaweza kukifanya kisa eti atahamia nyumba ndogo...khaa
 
Nyumba ndogo ni ndogo na nyumba kubwa ni kubwa .

kujenga nyumba kubwa gharama ?? naamini umekubali ?
kujenga nyuma ndogo gharama yake iko chini kidogo . wongo??


sasa kama ndivyo nahisi hawa jamaa wakienda huko kwenye nyumba ndogo huwa wana nasa kwa kuwa ni cheeeee??!!!!

balaa lake ni kwamba by the time anakujarealize anakuwa amechelewa inakuwa miguu juu kichwa chini .
yani watoto pindu !
nyumba kubwa chali?
yeye mwenyewe hovyo ?

wewe ulitoa ushauri huu
(Wewe umeoa?if yes, ndoa yako ina muda gani?

Kama ndoa yako ina umri wa zaidi ya miaka mitano......try wewe mwenyewe small house...nakwambia utachonga mzinga huko!)

by the time amechonga mzinga nyuki nao wanakuwa hawapo, mzinga unakuwa hauna kazi inakuwa back to square 1 . kaa huko2 kwa nyumba kubwa mkubwa usijeumbuka .



haaa mie nikidhani huko ndipo mnapochunwa mpaka ngozi?
 
Mkuu BAK nimekupata.
Kwa hiyo nyumba ndogo inaongeza makorombwecho kibao kama unavyo pika pilau.Yawezekana Nyumba kubwa zikisha wekwa ndani zinajisahau ndo maana wanazidiwa kete na nyumba ndogo katika idara ya mambo ya makulaji na masix kwa six.

Mh watahangaika kuzunguka bucha nyama ni ile ile........

Wapo wataosema kuwa nyumba kubwa wanajisahau but angalia kiwango cha majukumu alonayo mama mkubwa na mama mdogo.

mama mkubwa ana familia (iloletwa na huyo baba) hivyo majukumu yake yanaongezeka kiasi kwamba hana muda zaii ya ule wa kujiswafi. Mama mkubwa ataupata wapi muda wa kufanya ya nyumba ndogo?

Bi Mkubwa
1. Hana muda wa kujifukisha manukato huko kwa bibi ili kwamba bwana akija akutamani. Muda huo anautumia kuwapikia wanae na familia au hata kushughulikia watoto

----- Nyumba ndogo yenyewe ah plenty of time (Hana familia wala mtoto) so anaweza kuwa na muda hata wa kushinda kiooni akijipodoa

2. Nyumba yake haimpi nafasi ya kumpet bwana. Nyumba imejaa watoto na ndugu saa ngapi utambeba bwana mgongoni umpepeke bafuni?. Mtawezaje kujivinjari mpendapo makochini, jikoni au barazani wakati kila sehemu kuna watoto.

------- Nyumba ndogo kwake ah yu peke yake akiamua kukupea ukumbini aha. Akiamua kukufanyia strip show ah kwa raha ake hagombwi.

ama kweli mwanaume ni kama mtoto dogo.

3.
 
Mh watahangaika kuzunguka bucha nyama ni ile ile........3.

Ha ha ha hili la nyama ni ile ile halina ukweli wowote. Nyama inaweza kuonekana machoni ni ile ile lakini ukweli ni kwamba kuna tofauti kubwa sana. Umeshawahi kuonja nyama ya kongwa!? Ni tamu sana unaweza kula hata kilo tano kama ukiichoma, kuipika au kuikaanga na wakati huo huo nyama nyingine kilo moja tu ukasikia umevimbiwa ;)
 
Kwenye ndoa wanaume hufuata ngono na heshima (norms, customs). Wanawake hufuata usalama, heshima, maisha (it is like a job). Hii mitazamo haiwezi kushabihiana siku zote.

Hutokea mme akakosa ngono ndani ya ndoa, jibu rahisi ni kuifuata nje. Hutokea mwanaume akakosa heshima kwa mke aliyemuoa na hivyo akaamua kuitafuta heshima huko nje.

Hutokea mwanamke akaona ndani ya ndoa hapati usalama (anatukanwa/anapigwa) akaamua kuutafuta usalama nje. Huyo atakayempa usalama mara nyingi ni mwanaume mwingine, naye atahitaji malipo - Ngono. Hutokea tena mwanamke katika ndoa akakosa heshima (familia ya mme hawamtaki) au akakosa maisha (mkwanja hakuna hivyo no shoping ya nguo, vipodozi, na misosi ya nguvu). Hivi vitu akivikosa mara nyingi atajalibu kujazilizia huko nje.

Sisemi kufanya hayo ni halali, la hasha. Ninachosema ni kuwa hayo ndiyo yanayotokea ndani ya nyumba zetu. Huko kujazilizia kilichokosekana wakati mwingine huwa si conscious. Kunakuwa na msukumo wa kufanya kitu fulani kutokana na stress inayosababishwa na void fulani ambayo imeletwa na matarajio au matamanio ambayo hajakamilishwa (not realized).

Kwenda kwenye nyumba ndogo (zingine hugeuka kuwa kubwa), siyo suluhisho. Mara nyingi ni sign ya kuwepo kwa hayo niliyotaja hapo juu. Huwa si suluhu. Anayefanya hufanya huku akiamini kuwa anajazia ile void na Matokeo yake siku zote (au mara nyingi) huwa ni kutengeneza void zaidi. Kwa hiyo mtokaji yuko likely kutoka tena. Mwenye nyumba ndogo yuko likely kutafuta ya pili, ya tatu, na ya nne, ... kuliko hata yule ambaye hana.

SULUHISHO
Kujaribu kuwa wazi na kuwasiliana kuhusu unmet expectations kwenye ndoa zetu. Kuwa wakweli kuhusu matarajio yetu na kuwasiliana na wenzetu juu ya kile tulichokuwa tunawatarajia watufanyie. Kuwa wakweli na kukubaliana na hali inapotokea kuwa si kila tulichotarajia kitatokea kuwa vile tulivyokuwa tukifikiria. Kuwa tayari kurekebisha standards (viwango vyetu vya yale tunayotarajia kutoka kwa wenzetu). Kujua udhaifu wetu ndani ya ndoa na kujaribu kujirekebisha kila wakati. Kuwaheshimu wenzetu na kujiheshimu sisi wenyewe. Kuwa tayari KUKUBALI YAISHE, NA SI KUTAFUTA USHINDI KWA NJIA YOYOTE NDANI YA NDOA (Hata kama wewe ni fighter vipi au super star vipi lazima ukubali kuwa ndani ya ndoa kuna wakati utakuwa chini).

Smile on and enjoy!
 
Mwanaume hukimbilia ngono zaidi (kibaolojia). Shida ni kuwa mwanamke (mwenye ngono) anayo matamanio yake mengine (heshima, maisha, usalama). Kwenye kamchezo ka give and take wakati mwingine hutokea mmoja kujiona yuko used up. Yaani kama ni mwanamke hujiona anavua sana chupi, wakati yale ya kwake hayawi met. Au mwanaume hujiona kama wallet yake inakaushwa sana, na huku anarushwa roho tuu.

Inawezekana ikawa ni mawazo tuuu, lakini mara nyingi kuchunwa kupo!! hata ndani ya ndoa! Baba unafikia hatua unaona mambo ni magumu, kila wakati hiki au kile. Ukifika wakati wako, visingizio kibao. Au mwanamama anaachia tuuu, ila ikifika wakati wa kwenda kununua ule mkufu, visingizio kibao.

Kuchunwa kupo, na kufanywa mama huruma kupo. Tukijichunguza vizuri tunaweza kujua ni wakati gani tuna demand too much na huku tukitoa too little. Ikiwa mmoja atajisahau ukweli wakati mwingine hicho kinachoitwa nyumba ndogo kinakuwa justified. Wenzetu mara nyingi huwa ni TARAKA (SEPARATE AND MOVE ON).

Our cultue and some religions ni mzigo kwa hili. Kwa hivyo mapambano ambayo wakati mwingine huwa fatal hutokea. Mara nyingi separation za kibongo zinakuwa too late and too much damage has already been done.

Sometimes, break-up ni dawa muafaka kwa matatizo hayo ya nyumba ndogo, hasa ikiwa one party cannot change!
 
Last edited:
Nyumba ndogo sometimes ni gharama; lakini it is just BUSINESS CONTINGENCY AND CONTINUITY PLAN ! siku hizi nasikia wachumba kabla ya kuona wanaenda tuition ya ndoa, hivi somo hili halifundishwi?
 
Hapa ni momonyoko wa maadili tu,mume au mke hamna mwenye mamlaka ya kutembae nje ya ndoa.Kama ni ugomvi ni kukaa na kuongea wote kwa pamoja kwani hata mkitembea nje ya ndoa tatizo lipo pale pale. Na kila mmoja wenu anakuwa hana raha, jamani wenye ndoa ebu mtwambie mna matatizo gani? Mimi cjawa na ndoa ila the way tabia zenu zilivyo,tunakaosa kujifunza kutoka kwenu. Waulizeni na wazee wenu watasidia maana ndoa zimekuwa ndoana cku hizi!!
 
Nyumba ndogo ni tamu na haziepukiki kama una tamaa na huwezi kujizuia. Ila nyumba kubwa ni tamu hasa na utamu wake haufananishwi na nyumba ndogo hata chembe. Vya halali vitamu kinoma na nawaasa wajameni jizatitini kwenye nyumba kubwa ba halali.
 
Hata kama mke akijitumikisha kisawa sawa, sidhani kama mme hatafuti nyumba ndogo, ni katabia kachafu, ambako wanataka kukafanya kitu cha kawaida kuwa na mke na nyumba ndogo.Na mke akisha ona unahangaika kwengine kwanini ajitumikishe?
 
Hata kama mke akijitumikisha kisawa sawa, sidhani kama mme hatafuti nyumba ndogo, ni katabia kachafu, ambako wanataka kukafanya kitu cha kawaida kuwa na mke na nyumba ndogo.Na mke akisha ona unahangaika kwengine kwanini ajitumikishe?

Na kwa madai eti wanawake ni wengi...ndo maana wanacompasate nao na viserengeti boyz then % zinauwiana!
 
Hata kama mke akijitumikisha kisawa sawa, sidhani kama mme hatafuti nyumba ndogo, ni katabia kachafu, ambako wanataka kukafanya kitu cha kawaida kuwa na mke na nyumba ndogo.Na mke akisha ona unahangaika kwengine kwanini ajitumikishe?
Hayo ni mawazo na maneno ya kukata tamaa Violet. Hivi hujui kuwa mpira (futball) ni dakika 90? Tatizo kubwa la nyumba ndogo ni wakina mama kufanya ndoa kama kitu cha mazoea tu.

Kwani kuwa na watoto ndio mtu usijitunze vizuri? Usimkande mumeo? Wakina mama wengine hufanya kazi pia huishi katika familia yenye uwezo na nyumbani huwa na watumishi zaidi ya mmoja.... linapokuja suala la kuridhishana anajidai amechoka....

Hakika sababu kubwa ya nyumba ndogo ni wanawake kuchukulia ndoa for granted....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom