Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,728
- 5,365
Hii issue ya jenga nimeisikia, kuna baadhi ni nyumba ambazo zilijengwa zikaishia pagale wakaamua kumalizia na kuuza, nyingine inanunuliwa nyumba kuukuu kisha anafanyiwa finishing na kuongezwa thamani na kuuzwa
Hivyo angalia tu mazingira iliyopo kama yamekuvutia mengine unaweza kujiongeza mbele ya safari,
Jitahidi umshirikishe mwanasheria kabla ya kununua nyumba dizaini ya hizi
Hivyo angalia tu mazingira iliyopo kama yamekuvutia mengine unaweza kujiongeza mbele ya safari,
Jitahidi umshirikishe mwanasheria kabla ya kununua nyumba dizaini ya hizi