Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,123
- 1,921
Wakulungwa kumekuwa na matangazo ya nyumba mpya zinazouzwa Chanika, Chamazi na kwingineko kila kona sasa watu wengi sana wamekuwa na hofu wakitaka kufahamu usalama wa hizi nyumba isijekuwa kuna janja janja
JF wapo watu hapa ni wajanja wa kufahamu mambo katika jiji hili la Dar es Salaam ingekuwa vizuri mkazungumzia jambo hili kwa weledi mkubwa ili Watanzania wakajifunza jambo
Mfano wa nyumba hizo unaweza kuwa kama huu
Mara nyingi bei inaweka kuwa ndani ya ml 40
JF wapo watu hapa ni wajanja wa kufahamu mambo katika jiji hili la Dar es Salaam ingekuwa vizuri mkazungumzia jambo hili kwa weledi mkubwa ili Watanzania wakajifunza jambo
Mfano wa nyumba hizo unaweza kuwa kama huu
Mara nyingi bei inaweka kuwa ndani ya ml 40