wewe always una post pumba hapa tuu" kwani bunge likiwa live wewe inakukera nini haswa?Acha ulimbukeni wamiaka 300 BC
mawazo mgando hayo!ntashangaa mtu aache kwenda kazini kwa maelezo eti anataka kuona bunge live walio makazini waende kuchapa wengine wenye nafasi waangalie ni haki ya kikatibaLikiwa live halinikeri na lisipokuwa live ndiyo halinikeri kabisa na ninafurahi sana kwani watu wataenda kufanya kazi badala ya kutazama tv.
Umesikia leo wamesusa tena












hela ya posho ya leo inakava kila kitumawazo mgando hayo!ntashangaa mtu aache kwenda kazini kwa maelezo eti anataka kuona bunge live walio makazini waende kuchapa wengine wenye nafasi waangalie ni haki ya kikatiba
Hawawezi kukuelewa ndugu,kwao kila kisemwacho na wanaojaza matumbo yao ndio muongozo,its a shameMahitaji na shauku za binadamu hubadilika, leo watanzania wengi wanashauku ya kuona mafisadi wote wanatumbuliwa. Je, shauku hii haitaisha? Ikitokea mafisadi wote wametumbuliwa na kufia gerezani watanzania watakaa kusherekea miaka yote? jibu HAPANA watadai maisha bora. Baada ya maisha bora watadai uhuru! Kuna nchi watu wake walilipiwa hata gharama ya harusi zao na serikali yake lakini walipokosa uhuru kilichotokea wote tunakijua. Mtu yeyote anayefikiri binadamu anahitaji maisha bora bila uhuru atakuwa anakosea!
Una ramboo!!!????Wengine asubuhi wana viwanda vipindi vyao walivyovizowea na si bunge.
Hatutaki live. Mkitaka live nendeni bungeni.
Hawataki kukosolewaMahitaji na shauku za binadamu hubadilika, leo watanzania wengi wanashauku ya kuona mafisadi wote wanatumbuliwa. Je, shauku hii haitaisha? Ikitokea mafisadi wote wametumbuliwa na kufia gerezani watanzania watakaa kusherekea miaka yote? jibu HAPANA watadai maisha bora. Baada ya maisha bora watadai uhuru! Kuna nchi watu wake walilipiwa hata gharama ya harusi zao na serikali yake lakini walipokosa uhuru kilichotokea wote tunakijua. Mtu yeyote anayefikiri binadamu anahitaji maisha bora bila uhuru atakuwa anakosea!
hili halikubaliki
Kwa hili la kuendelea kupuuza hoja ya Bunge kutangazwa Live, JPM ameonyesha udhaifu mkubwa. Sasa ni wazi kwamba hata 'Katiba ya Waroba' kwa huyu bwana ni ndoto. Hii 'kutumbua majipu' ni mnyororo au chambo cha kwanasa wananchi kwenye nyavu zao muda wa uchaguzi ujao. Ndiyo sababu ya mameya wa UKAWA kufanyiwa mizengwe. Tunakoelekea sasa ni kubaya, kama JPM hatakubali kuheshimu misingi ya UTAWALA BORA:
1. UCHAGUZI HURU,
2. UKWELI NA UWAZI,
3. HAKI ZA BINADAMU,
4. DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI BUNGENI.
Namuombea kwa Mwenyezi Mungu amwangazie aendako ili asiingize nchi shimoni.
We kweli pumba...alokwambia watu wote wanafanya kazi asubuhi nani?Shame on me? No, shame on u brother, kwani hakuna namna nyingine ya sisi kujulishwa kilichokuwa kikiendelea Bungeni iwe na Wabunge wetu au hizo Media, badala ya watu kukaa mwanzo mwisho wanaangalia live, nyinyi hamna kazi za kufanya?
Sisi ndio wa ajiri wao kuanzia serikalini,mahakama na bunge!sasa unapoamua kumficha muajiri wako taarifa ya kinachoendelea na kinacho jadiliwa na wawakilishi wao bungeni?niukosefu wa busara wa hali ya juu, haya maajabu yanatokea TZ tu