Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Ni kweli kabisa wanatafuta mtu wa kumtoa kafara, wanafanya kila njia kuleta propaganda na shutuma za kijinga kwenye taaluma za watu. Mara test kits zina fault, mara matokeo yote ya tests ni positive, mara kuna hujuma zinafanywa maabara, mara mabeberu wanaihujumu Tanzania. Yaani wanatumia kila sababu za kijinga kuepuka jukumu lao la kupima watu dhidi ya corona. Wewe mpaka leo hii kwa Tanzania nzima wamepima watu 652 tu? Tumeshindwa hata na Rwanda waliopima watu 34,350 mpaka hivi sasa.
Hizi ndio njemba zilizokuwa brainwashed....
mzungu amainvest sana kwenye vichwa va kijinga kama hiki alafu mbaya zaidi vipo vingi so pathetic
 
Ili Dhahabu ing'ae lazima ipite kwenye moto. Hata hili dada litapita. Sasa wataanza kuchunguza ulipataje hiyo position. Ila utatoka tu. Hapa watabadili Mkurugenzi ila wewe endelea kufanya sayansi. Najua upo hapa JF. Halafu nimeshangaa kumbe wewe ni rafiki yangu facebook.
Hebu ukamtie moyo mwenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameunda kamati kufuatilia mwenendo wa hiyo maabara, lakini wameshafanya damage kwenye hiyo maabara kwamba haiaminiki na inaweza isipate sampuli za kutoka nje au kuwa accredited na WHO kama reference lab.....mambo mengine yanasikitisha sana...
Nina uhakika tangu hotuba itoke, watumishi hawana nguvu ya kuendelea na vipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr Nyambura Moremi is a distinguished scientist and researcher with over 10,000 reads and over 200 citations on ResearchGate and listed on Google Scholar

Nchi na serikali ithamini wanasayansi na tuache siasa kwenye taaluma.

Jiwe walilokataa waashi linaenda kuwa jiwe kuu la Pembeni. Tukumbuke ya Dr Mwele Malecela.
View attachment 1439695View attachment 1439696View attachment 1439697
Ummy mwalimu kamuonea wivu kaamua kumtoa kafara kwa njia za kishetani, kiuhalisia wa kufukuzwa kazi alikuwa ni ummy mwalimu mwenyewe lakini kaachwa kiajabu ajabu hivi
 
Bora umeweka wasifu wake hapa kwa sababu kulikuwa na baadhi ya wapumbavu wa CCM hapa walishaanza kuzusha kuhusu uraia na asili yake.
ccm ya sasa ni ccm ya uzushi kuzusha kutengeneza propaganda zisizo na tija yeyote
 
Back
Top Bottom