Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Wameunda kamati kufuatilia mwenendo wa hiyo maabara, lakini wameshafanya damage kwenye hiyo maabara kwamba haiaminiki na inaweza isipate sampuli za kutoka nje au kuwa accredited na WHO kama reference lab.....mambo mengine yanasikitisha sana...
Watakuwa wanataka kuweka mtu atayetoa majibu ya uongo wanayotaka wao. Hii nchi ina vituko siyo kidogo. Mbona tuhuma za wenye vyeti fake akina bashite na madokta wenye PhD fake hawachunguzwi.
 
Hili ni jina la kijita acha kama haujui majina ya malabila yote Tanzania. Mkikuyu mkikuyu ama ulipenda awe ametokea kwenu ndo ungefurahia ili ujione kuwa kwenu ni wajanja.
Prof Muhongo naye haumuoni? Naye ni mkenya. Elimu sio kuwa watu Fulani ndo wamebarikiwa kuipata
Naamanisha ni mkurya na sio mjita. Na hiyo moremi ni mrimi ama moremi kwa mana ya mkulima. Mkulima ukuryani tunaita murimi ama moremi kutokana na lahaja za lugha yetu ama diversity inayoleta tofauti kidogo ya pronunciation
 
Kibisaaa! My grandma and Dada yangu wanaitwa Nyambura a common name among Kikuyu Women.
Kumbuka lugha za kibantu zinaelekeana. Unajua wakisii na wakurya ni kabila moja kabla mmasai kuwashambulia na kuwasambaratisha mnamo karne ya 16? Kuna muethiopia mmoja nilikutana naye unaitwa Chacha ambalo wakurya tunalitumia kama icon kijina la kiume. Likiwa na mana ya zimekuja muda ambao wakurya walileta ngombe tokea kabila zingine kimabavu. Ndo wanaamka wanazikuta wanasema kuwa zimekuja ngombe zao.
 
Watu walishachukua jiko mapema Sana'a
49375925_10218595949069613_5830401830688915456_n.jpg
 
Back
Top Bottom