Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Ni majina ya kikikuyu hayo
Kwa kumuangalia tu hilo paji la uso unajua huyu ni Mkikuyu na tunao wengi hapa Tanzania wamejichanganya na kuwa watanzania,walikuwepo akina Mungai hadi akawa waziri.
 
Anamzidi kila kitu Ummy, kuanzia elimu, uzoefu wa kazi, uzuri, exposure labda kitu pekee Ummy anachomzidi ni Umri
Hawa ndio watu wa kuwapa uwaziri wa afya, sio wanasiasa wagombea ubunge na majimbo. Afya ni comprehensive profession yenye miiko yake na taratibu za kiuendeshaji zilizo certified kikanda na kimataifa.
 
Back
Top Bottom