Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Nyota ya Dr Nyambura Moremi itang'aa Kimataifa

Wamkomoe kwa lipi?.Sidhani kama uko kwa wenzetu wana mawazo yakishamba badala yakuangalia uwezo wa mtu.

Sawa mkuu, hawa jamaa hua sio washamba ila wanafanya kile wanachoona kina maslahi kwao.

Miongoni mwa hayo mambo ni kukufanya ukose uungwaji mkono ili ajenda zao zisonge mbele.

Mkuu hadi sasa hayuko pamoja nso kwenye mambo mengi ikiwepo kuwatetemekea na kuwanyeyekea, ameenda mbali hadi kuwaita mabeberu ( msamiati mpya)
 
Sawa mkuu, hawa jamaa hua sio washamba ila wanafanya kile wanachoona kina maslahi kwao.

Miongoni mwa hayo mambo ni kukufanya ukose uungwaji mkono ili ajenda zao zisonge mbele.

Mkuu hadi sasa hayuko pamoja nso kwenye mambo mengi ikiwepo kuwatetemekea na kuwanyeyekea, ameenda mbali hadi kuwaita mabeberu ( msamiati mpya)
Beberu si msamiati mpya, ulikuwepo tangu kale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]
Tatizo la mtukufu ni kumiliki washauri wabaya mfano kutegemea ushauri wa Naibu Rais Daud Bashite huku Daud Bashite yeye akiwategemea Le mutuz kubwa jinga na cyprian Musiba kunako ushauri mkubwa, kwa mfumo huu wa ushauri usitegemee kubadilika
Dah umenena mkuu
 
..wanatafuta mtu wa kumtoa kafara.

..ila kwa taaluma na kiwango chake cha elimu, Dr.Moremi hawezi kukaa benchi muda mrefu.

..kuna taasisi nyingi nje ya Tz zinahitaji wataalamu wa kiwango cha Dr.Moremi.
Jamani hata huko Marekani mashine za kupimia Covid-19 zimerekodi positive katika matunda. Huyu Binti Msomi asidumbuliwe kabisa kuna fault katika mashine zenyewe.
 
Ni majina ya kikikuyu hayo
Dhambi ya ubaguzi inawaangamiza watetezi wa maamuzi mabovu juu ya hatua tunazochukua kukabiliana na changamoto zinazojitokeza.Kila jambo baya likifanywa na watawala wetu hawakosi waandaa logic za kitoto kutetea na kukashifu whistle blowers.
Kwa hali hii incompitent people justifies their illegal actions.
 
Back
Top Bottom