Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,354
- 17,687
Anakwambia Samia ajizuluu kwa rahaa zakee.Anasema anaishi Kawe Ukwamani jimboni kwa jasusi la mbinguni
Anakwambia Samia ajizuluu kwa rahaa zakee.Anasema anaishi Kawe Ukwamani jimboni kwa jasusi la mbinguni
MlimaSayuni kwenye comment namba 24 amefafanua vizuri sana hata mtoto mdogo anaelewa.Hivi mnajua mnachezewa saikolojia na hamtaki kuamini
Je Yale yote anayowaeleza hyo pungasese wenu lipi lililoleta impact chanya katika jamii kuachana na huo umbea wa vijiweni
Siku Moja mwambieni a test hyo mifumo yake ili muhakikishe kile anachowaeleza
Anawalisha matangopoli na nyie mnaamimin et mmepata mtu wa kuwatetea
Tumien vizuri akili vinginevyo ataendelea kuwaona mazwazwa
Mtumie namba za mke wako tuone kama anaweza dukua penziHivi mnajua mnachezewa saikolojia na hamtaki kuamini
Je Yale yote anayowaeleza hyo pungasese wenu lipi lililoleta impact chanya katika jamii kuachana na huo umbea wa vijiweni
Siku Moja mwambieni a test hyo mifumo yake ili muhakikishe kile anachowaeleza
Anawalisha matangopoli na nyie mnaamimin et mmepata mtu wa kuwatetea
Tumien vizuri akili vinginevyo ataendelea kuwaona mazwazwa
Hata oktoba29 mlii idharau mkapapaswa matako na kuruka fuuuuuWabongo bwana kwa kuchotwa akili.. nimemsikiliza shujaa wao Habili akizungumzia NATO na pengine uwezekano wa wao kuingilia hali hii. Nikagundua mshikaji ameamua kuwachota mburula. Ajabu ni kwamba mburula wa kiTZ wanamkubali Ile mbaya!
Nb. Ukitoka hiyo siku aga vizuri kwenu.
Sisi ndo tulipapaswa? Sisi ni akina nani?Hata oktoba29 mlii idharau mkapapaswa matako na kuruka fuuuuu
MashogaSisi ndo tulipapaswa? Sisi ni akina nani?
Gen z wa Bongo matusi ndio reaction zenu za majibu. Hoja zeroMashoga
Siwezi kukuletea hoja yoyote we muuwaji kafiri MKUBWA weweGen z wa Bongo matusi ndio reaction zenu za majibu. Hoja zero
kweli Simba kafungwa juz lkn asee sijakutana na thread kuhusu hizo mambo tofauti na zamanYaani CCM wakubali Nchi imebadilika. Hata humu watu hawajadili mipira
Boss matusi tunayakubali ila usiache kutokea Kwa Riot.Siwezi kukuletea hoja yoyote we muuwaji kafiri MKUBWA wewe
Kunaweza kuibuka kundi lingine hatari zaidi kwa watawala wasipokuwa makiniOverall
1. Mange
2. Sativa
3. Maria
4. Polepole
5. Conrad kibigumila (pastor)
6. Gwajiboy
7. Nuruvazi
Tunapoelekea
1.Mange
2.Habil/kabil
Halafu wengine watafuata
Mhana unamuamini Habil kuwa kweli kadukua? mbona yule lapangwa tu kuleta taharuki yaaani udukue mifumo kirahisi rahisi hivyo?Maji ni kitu chenye nguvu sana!
Kamwe usijaribu kuyazuia yanapochagua njia yake, maana hutayaweza. Ukijaribu, yatakusababishia madhara makubwa!
Ni wakati wa mabadiliko… Hayazuiliki! Na kujaribu kufanya hivyo ni kujitafutia shida za kujitakia.
Nyota waliohamasisha na kufanikisha maandamano ya kudai haki ya October 29, kwa sehemu kubwa, walikuwa ni watu wa jinsia pinzani ya kiume.
Ninaposema nyota, namaanisha kwamba wapo wengi waliohusika, lakini ninaowataja hapa ni wale waliotamba zaidi.
Kutoka upande wa wanawake:
Kutoka upande wa wanaume:
- Mange Kimambi
- Maria Sarungi
- Rachel Danga
Kazi waliyoifanya ilionekana, na ndiyo imezaa maandamano ya awamu ya pili ya D9.
- Sativa
- Pastor Dickson
- Nuru Vazi
- Pole Pole
- Gwajima, n.k.
Kabla ya MO29, Pole Pole alijizolea umaarufu kutokana na kutoa data ambazo chanzo chake kilikuwa yeye mwenyewe. Watanganyika wengi waliona anawachana kisawasawa.
Mange naye akawa anapewa taarifa za ndani, na akawa anazipenyeza bila woga.
Lakini pamoja na nguvu yote hiyo, maandamano yale yakatawaliwa na kiwango kikubwa cha ukatili ulioteketeza maelfu ya roho zisizo na hatia — pamoja na majeruhi, makovu na ulemavu wa kila aina.
Hata hivyo, matakwa ya MO29 hayakutekelezwa.
Hii ikapelekea maandalizi ya maandamano ya D9, siku ya Uhuru wa Tanganyika.
Maandalizi ya D9, pamoja na wale nyota wa MO29, yamemuibua mtu mpya kabisa mahiri, mwenye nguvu, na hatari zaidi.
Huyu mtu ni kama jeshi la mtu mmoja, aliye full loaded kwa kila aina ya silaha kubwa na ndogo, za masafa marefu na mafupi.
Na huyu si mwingine bali ni:
Habil Kabil
Ana ufahamu wa kila jambo na huwasilisha mikakati yake kwa lugha nyepesi.
- Bingwa wa mipango na mifumo
- Mtu mwenye ushawishi wa ajabu
- Mdukuzi hatari
- Anayedukua kila kitu, kidogo au kikubwa — na kila alichonacho ni silaha kuelekea D9
- Kwa sasa, ndiye mtu anayesikilizwa zaidi Tanganyika kwenye live talks mitandaoni
Ana mbinu za kipekee za kuwasiliana na wale wanaowekwa kwenye rada yake:
Kwa kila njia, anahakikisha hakuna nafasi ya visingizio.
- Barua/Fax
- Simu
- Live talks mitandaoni
Na mara zote anakupa chaguzi mbili tu: A au B.
Kila analoibuka nalo linatisha kuliko lililotangulia. Kwa sasa, watu hawalali hawajui nani ndiye anayefuata na atawekewa ultimatum gani.
Wengi wangetamani wasahauliwe mpaka D9 ifike… lakini kwa hali ilivyo sasa, inaonekana hakuna atakayebaki. Kila mmoja ataandikiwa wakati wake.
Jana, mbali na taasisi iliyoguswa kwa sehemu, ni Bwana Subwoofer aliyeibuliwa na kashfa ya kughushi na amepewa ultimatum ya siku 7 ajitafakari na kujibu.
mtu akijitokeza leo kuponda mchezo mchafu wa sa100 tumuite gaidi?Kwanini watu sio waadilifu katika uandishi ? Hivi kwa maana ipi au kwa sababu ipi mnayaita yale ya October 29 ni maandamano ?
Kingine, kwa sababu ipi na kwa maana ipi watu wahamasishaji juu ya vurugu na uasi mnawaita nyota ya mchezo au watu mahiri, na kuacha kuwaita kwa majina yao stahiki kama vile Mafatani, Wazandiki, Magaidi, Wahaini na mfano wa hayo ?
Kwanini hamjipambi na sifa ya ukweli pamoja na uadilifu ?
Kwetu sisi kiimani, tunasema lazima mtaulizwa, na lazima mtalipwa stahiki zenu mbele ya Mola mlezi.
Uzime mbweni kwaniniHanil Kabil alitakiwa ahack mitandao siku ya maandamano ili washindwe kuzima.
Pia tungeweza atusaidie ku hack Tanesco ili umeme uwake uswahilini uzime Mbweni, Mbezi beach, kawe, Mikocheni, Masaki, Oysterbay, Upanga, Kisutu, Kariakoo.
Tukimaliza awawashie waone kazi.
mtu akijotokeza leo kuponga mchezo mchafu wa sa100 tumuite gaidi?
Camon acha uchawa
Wapi Rachel Dangwa cha matusi Kuna siku alisema bi mkubwa ni mjamzito😄😄Overall
1. Mange
2. Sativa
3. Maria
4. Polepole
5. Conrad kibigumila (pastor)
6. Gwajiboy
7. Nuruvazi
Tunapoelekea
1.Mange
2.Habil/kabil
Halafu wengine watafuata