Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
tamu hii... sijui hapa kwetu intelijensia kama ingeruhusu
wajameni, mimi bado ona hiyo picha, au kapc kangu kimeo?
tamu hii... sijui hapa kwetu intelijensia kama ingeruhusu
kwanini na sisi tusijipange kwani matatizo yao na Tanzania hayatofautiani,kusekana ajira,gharama za maisha kupanda,kutokuwa na demokrasia ya kweli.....
tuna kila sababu ya kufanya mabadiliko
Majeshi ya tanzania ni ya kulinda viongozi wa chama na serikali ya ccm. aibu.
Intelijensia haiwezi ruhusu hata siku moja maana kuruhusu ni kupingana na dhana nzima ya amani na utulivu tuliojijengea,tamu hii... sijui hapa kwetu intelijensia kama ingeruhusu
Mkuu hayo uloyasema hapo ndo chanzo cha kufanikisha mwamuko wa mageuzi ambao unaomba mungu auepushe.Mungu aepushie mbali huu mwamko usije Tanzania maana utaweza kuiondoa hii amani tuliyo irithi, Tumuache Kikwete atulie ale nchi na akina Rostam tartiiiibu huku wananchi tukihangaika na ya fuatayo.
1.Vifo mahosptalini vinavyoweza kuzuilika
2.Foleni mabarabarani
3.Mfumuko wa bei
4.Kukosa kazi hivyo kuzalisha vibaka
5.Wizi wa kodi zetu
6.Ukosefu wa maji safi na ya uhakika
Mungu aepushie mbali huu mwamko usije Tanzania maana utaweza kuiondoa hii amani tuliyo irithi, Tumuache Kikwete atulie ale nchi na akina Rostam tartiiiibu huku wananchi tukihangaika na ya fuatayo.
1.Vifo mahosptalini vinavyoweza kuzuilika
2.Foleni mabarabarani
3.Mfumuko wa bei
4.Kukosa kazi hivyo kuzalisha vibaka
5.Wizi wa kodi zetu
6.Ukosefu wa maji safi na ya uhakika
mimi naamini iko siku watu wataweka uoga pembeni amini usi amini na si mda mrefu.....kama CCM itaindelea na us**** huu..............Bongo haiwezi tokea sababu ASKARI WETU WAKO BRAIN WASHED!:msela:
Wao kila kitu NDIO AFANDE
USITEGEMEE HATA SIKU MOJA BONDO KUWA HIVI.
PIA WATU NI WAOGA KUPITA KUNGURU SASA UNATEGEMEA WATAJITOKEZA NA KUKAA MTAANI WIKI NZIMA?
WACHACHE SANA WENYE UJASIRI KM HUO NA HII NDIO INADHOOFISHA NGUVU YA UMMA HAPA TZ.