Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mubarak kisha lainika. Ataitisha uchaguzi mwezi wa 9 na yeye hatagombea!! Source CNN
Tatizo wa-misri wanataka mpaka kufikia ijumaa awe ameng'oka...yeye anawaletea habari za mwezi wa tisa....
Mubarak kisha lainika. Ataitisha uchaguzi mwezi wa 9 na yeye hatagombea!! Source CNN