Nyoka wa ajabu

Nyoka wa ajabu

kwa kuwa aliwaona njiwa akiwa kwenye hali ya nyoka na kwamba alikwea mti angali nyoka kumfuata aliyegundua baadaye ni kunguru basi vielelezo vikiletwa na shahidi nyoka vitakuwa na nguvu sana!
We ulishawahi kufanya kitu ndotoni na matokeo yakabaki kiuhalisia?
Mfano kuchuma majani kama unavyoshauri hapo?
 
Habari za mda huu wana JF

Siku ya leo mapema tuu mchana kwenye saa saba wakati napitia posts mbali mbali hapa jamvini nilijikuta nimepitiwa na usingizi wa ghafla.

Na kujikuta nipo mazingira ambayo sijawahi kuyaona, na nilikuwa katika umbo la nyoka kimwili na mawazo pia, hilo halikunishangaza sana kwa sababu nilijiona kuwa mimi ni nyoka na niliona hayo ndio maisha yangu ya siku zote kama nyoka wengine,

Lakini ghafla kulitokea na njiwa wawili waliotua mbele yangu juu ya mti ulio mfano wa miti ile ya Crismass, nami nikaanza kuupanda ule mti kwa taratibu na busara kwa lengo la kuwakamata wale njiwa ili niwale...

Cha ajabu nilipofika juu na kuwakaribia nikagundua kuwa wale sio njiwa ila ni kunguru, na mimi kama nyoka nilikuwa sina tabia ya kula kunguru hivyo niliamua kushuka chini bila kuwabugudhi niendelee na mambo mengine lakini nilipofika chini na kutazama tena juu ya ule mti niliwaona kuwa ni njiwa na wala si kunguru kama nilivyofikiri hapo mwanzo, kwa mara ya pili niliamua kurudi tena juu ya mti ili niwakamate, ila nilipofika juu niliwaona ni kunguru na wala sio njiwa, hichi kitu kilinishangaza sana, maana nikiwa chini nawaona kama njiwa lakini nikiwa juu nawaona kama kunguru...

Wakati nipo katika dimbi la mawazo nisijue nini cha kufanya mara ghafla chini ya ule mti alipita sungura...

Hapo sasa nikaachana na habari ya wale njiwa/kunguru na kuanza kumfukuza yule sungura,

Ghafla nikashituka maana nilikuwa naamshwa ili nile chakula cha mchana na nilipongalia saa ilikuwa ni saa saba na dakika ishirini na tano mchana

Shida yangu hapa sio tu kutaka kujua hii ndoto inamaanisha nini Ila nikukutaka kujua mimi ni nani?

Je mimi ni binadamu ambaye nawaza/kuota kuwa nyoka au ni nyoka ambaye anawaza/kuota kuwa binadamu???

Na je maisha yangu na ufahamu wangu kwa sasa upo wapi?
Ni kwa nyoka au binadamu?
Na ni yapi ni maisha yangu ya kweli ninayoishi sasa kati ya nyoka au binadamu?


Cc Appolo Annael Bennie 369 Mkuu wa chuo aretasludovick pamoja na wengine wote ambao mna ufahamu kuhusu haya maswala naomba ufafanuzi wenu maana naona muda unapita bila mimi kupata ufumbuzi kwenye hili

Unachokifikiria ni Philosophical sikiliza kuhusu huyu philosopher.

 
Habari za mda huu wana JF

Siku ya leo mapema tuu mchana kwenye saa saba wakati napitia posts mbali mbali hapa jamvini nilijikuta nimepitiwa na usingizi wa ghafla.

Na kujikuta nipo mazingira ambayo sijawahi kuyaona, na nilikuwa katika umbo la nyoka kimwili na mawazo pia, hilo halikunishangaza sana kwa sababu nilijiona kuwa mimi ni nyoka na niliona hayo ndio maisha yangu ya siku zote kama nyoka wengine,

Lakini ghafla kulitokea na njiwa wawili waliotua mbele yangu juu ya mti ulio mfano wa miti ile ya Crismass, nami nikaanza kuupanda ule mti kwa taratibu na busara kwa lengo la kuwakamata wale njiwa ili niwale...

Cha ajabu nilipofika juu na kuwakaribia nikagundua kuwa wale sio njiwa ila ni kunguru, na mimi kama nyoka nilikuwa sina tabia ya kula kunguru hivyo niliamua kushuka chini bila kuwabugudhi niendelee na mambo mengine lakini nilipofika chini na kutazama tena juu ya ule mti niliwaona kuwa ni njiwa na wala si kunguru kama nilivyofikiri hapo mwanzo, kwa mara ya pili niliamua kurudi tena juu ya mti ili niwakamate, ila nilipofika juu niliwaona ni kunguru na wala sio njiwa, hichi kitu kilinishangaza sana, maana nikiwa chini nawaona kama njiwa lakini nikiwa juu nawaona kama kunguru...

Wakati nipo katika dimbi la mawazo nisijue nini cha kufanya mara ghafla chini ya ule mti alipita sungura...

Hapo sasa nikaachana na habari ya wale njiwa/kunguru na kuanza kumfukuza yule sungura,

Ghafla nikashituka maana nilikuwa naamshwa ili nile chakula cha mchana na nilipongalia saa ilikuwa ni saa saba na dakika ishirini na tano mchana

Shida yangu hapa sio tu kutaka kujua hii ndoto inamaanisha nini Ila nikukutaka kujua mimi ni nani?

Je mimi ni binadamu ambaye nawaza/kuota kuwa nyoka au ni nyoka ambaye anawaza/kuota kuwa binadamu???

Na je maisha yangu na ufahamu wangu kwa sasa upo wapi?
Ni kwa nyoka au binadamu?
Na ni yapi ni maisha yangu ya kweli ninayoishi sasa kati ya nyoka au binadamu?


Cc Appolo Annael Bennie 369 Mkuu wa chuo aretasludovick pamoja na wengine wote ambao mna ufahamu kuhusu haya maswala naomba ufafanuzi wenu maana naona muda unapita bila mimi kupata ufumbuzi kwenye hili
Haaah
 
Habari za mda huu wana JF

Siku ya leo mapema tuu mchana kwenye saa saba wakati napitia posts mbali mbali hapa jamvini nilijikuta nimepitiwa na usingizi wa ghafla.

Na kujikuta nipo mazingira ambayo sijawahi kuyaona, na nilikuwa katika umbo la nyoka kimwili na mawazo pia, hilo halikunishangaza sana kwa sababu nilijiona kuwa mimi ni nyoka na niliona hayo ndio maisha yangu ya siku zote kama nyoka wengine,

Lakini ghafla kulitokea na njiwa wawili waliotua mbele yangu juu ya mti ulio mfano wa miti ile ya Crismass, nami nikaanza kuupanda ule mti kwa taratibu na busara kwa lengo la kuwakamata wale njiwa ili niwale...

Cha ajabu nilipofika juu na kuwakaribia nikagundua kuwa wale sio njiwa ila ni kunguru, na mimi kama nyoka nilikuwa sina tabia ya kula kunguru hivyo niliamua kushuka chini bila kuwabugudhi niendelee na mambo mengine lakini nilipofika chini na kutazama tena juu ya ule mti niliwaona kuwa ni njiwa na wala si kunguru kama nilivyofikiri hapo mwanzo, kwa mara ya pili niliamua kurudi tena juu ya mti ili niwakamate, ila nilipofika juu niliwaona ni kunguru na wala sio njiwa, hichi kitu kilinishangaza sana, maana nikiwa chini nawaona kama njiwa lakini nikiwa juu nawaona kama kunguru...

Wakati nipo katika dimbi la mawazo nisijue nini cha kufanya mara ghafla chini ya ule mti alipita sungura...

Hapo sasa nikaachana na habari ya wale njiwa/kunguru na kuanza kumfukuza yule sungura,

Ghafla nikashituka maana nilikuwa naamshwa ili nile chakula cha mchana na nilipongalia saa ilikuwa ni saa saba na dakika ishirini na tano mchana

Shida yangu hapa sio tu kutaka kujua hii ndoto inamaanisha nini Ila nikukutaka kujua mimi ni nani?

Je mimi ni binadamu ambaye nawaza/kuota kuwa nyoka au ni nyoka ambaye anawaza/kuota kuwa binadamu???

Na je maisha yangu na ufahamu wangu kwa sasa upo wapi?
Ni kwa nyoka au binadamu?
Na ni yapi ni maisha yangu ya kweli ninayoishi sasa kati ya nyoka au binadamu?


Cc Appolo Annael Bennie 369 Mkuu wa chuo aretasludovick pamoja na wengine wote ambao mna ufahamu kuhusu haya maswala naomba ufafanuzi wenu maana naona muda unapita bila mimi kupata ufumbuzi kwenye hili
Hayo ni maluwe luwe au mawenge,hakuna maana hapo.
 
ha ha jimena bana katika hyo ndoto hukuona wenzio wasioamini Mungu wapo katika maumbo gani??@ kiranga hakuwa na umbo la wale kunguru kweli? CHUAKACHARA ndo manaji ya mti nusuhela akiwa matawi Fundi chupi akiwa magamba ya nyoka @freeideas akiwa mbawa za njiwa
 
ha ha jimena bana katika hyo ndoto hukuona wenzio wasioamini Mungu wapo katika maumbo gani??@ kiranga hakuwa na umbo la wale kunguru kweli? CHUAKACHARA ndo manaji ya mti nusuhela akiwa matawi Fundi chupi akiwa magamba ya nyoka @freeideas akiwa mbawa za njiwa
....kumbe haamini Mungu huyu manzi?
..nimepoteza muda bure kusoma huu upupu!
 
Maswali yako ni magumu sana ila ntayajibu kwa kadri ninavyoelewa
Kuhusu uchawi hata sijui kama kuna ambae ana mikoba na hajaikabidhi
Sijarithi jina la mtu yoyote
Pia familia yangu sio watu wa maswala ya kufatilia mizimu kabisa
Kuhusu upande niliolalia sina hakika acha nichunguze maana niko ugenini
Asante sana
Hhmm.. Ugenini, haya.
 
Una spirit ya nyoka, kuna watu ulitaka kuwaangamiza (huwenda walikuudhi au unataka kuwaangamiza for the sake of it. Maana shetani ni muuaji, muharibifu na ni mwizi kwa asili). Lakini hukuweza maana vigezo ulivyokuwa unavitumia vilikuwa vinatibuliwa. Sijui maisha yako ya kiroho yakoje. Lakini hata kama tafsiri hii ya ndoto si sahihi, haitakuumiza ukijisogeza zaidi kwa Mungu for salvation of your soul. Mwisho I cover this and you with the Blood of Jesus. Amina.
 
Pole kwa ndoto Jimena! Ndoto ni maono kamili kutoka kwa Mungu, kila ndoto inamaana changamoto ni kupata tafsiri yake. Nianze kwa kusema wewe ni (Jina lako halisi) wala si nyoka, kama kuna kisasi umekiweka ndani ya MOYO wako juu wa mtu/watu fulani acha hicho kisasi na usamehe.
 
ha ha jimena bana katika hyo ndoto hukuona wenzio wasioamini Mungu wapo katika maumbo gani??@ kiranga hakuwa na umbo la wale kunguru kweli? CHUAKACHARA ndo manaji ya mti nusuhela akiwa matawi Fundi chupi akiwa magamba ya nyoka @freeideas akiwa mbawa za njiwa
Sikuwaona kabisa hayo niliyoandika ndio pekee niliyopata kuyaona ndotoni, Doyi buana
 
Una spirit ya nyoka, kuna watu ulitaka kuwaangamiza (huwenda walikuudhi au unataka kuwaangamiza for the sake of it. Maana shetani ni muuaji, muharibifu na ni mwizi kwa asili). Lakini hukuweza maana vigezo ulivyokuwa unavitumia vilikuwa vinatibuliwa. Sijui maisha yako ya kiroho yakoje. Lakini hata kama tafsiri hii ya ndoto si sahihi, haitakuumiza ukijisogeza zaidi kwa Mungu for salvation of your soul. Mwisho I cover this and you with the Blood of Jesus. Amina.
Mmmh hii ya kuangamiza watu haiwezi kuwa kweli maana hakuna mtu nnaentaka kumuangamiza
Ila shetani hakuwepo ndotoni kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom