kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,077
mkuu hii ndoto ina maana kubwa sana. kwanza kabisa kimira na ndoto nzuri kwa upade mwingine ni mbaya

Huyo kuja huku ni ngumu, M_PM au nenda ktk ile Thread yake anayotafsiri ndoto.Ngoja tumsubiri aje tumsikie maneno yake
Cc freedom tomorrow
Ndio ila unaweza kuwa walienda kwa mganga wa kienyeji ndio ukapatikana yani hadi hapo najua kabisa who are you ni pm nyakuambia![]()
![]()
![]()
Baba angu sio mganga wa kienyeji
hahahaa.... duh?!Unamfuata njiwa mzuri kwa chakula......huenda kuna mkaka unampenda ambaye unaona anakufaa. Lakini Mungu na wewe mnajua kabisa ukimpata utamuangamiza (financially., socially, spiritually). Hivyo Mungu anaamua kumgeuza ili asipendeze machoni mwako (nyoka/evil spirit); then unaacha kumfuata. Wewe the mortal you huna kisasi na mtu lakini the evil spirit (nyoka) in you is there to steal, kill and destroy. Bado chunguza uhusiano wako na Mungu. Any contrary and familiar spirit in you should chased out in The Name of Jesus.
kweli kabisa...Hatimayake utakuja kujua tu
Sema tu hapa hapa wala hakuna tatizo,Ndio ila unaweza kuwa walienda kwa mganga wa kienyeji ndio ukapatikana yani hadi hapo najua kabisa who are you ni pm nyakuambia
Mambo yote ambayo yanamchukiza muumba kwa mfano wewe unaenda msikitini au kanisani kwa ajili tu umeambiwa na mshirikina uende kwenye nyumba za ibada ili mambo yako yanyooke hapo umeenda si kwa ajili ya mungu ila kwa ajili unashida fulani hapo utakuwa mshirikina Ingawa unaingia kwenye nyumba ya ibadaHebu nipe mfano wa hayo wa hayo mambo ya kishetani?
Ha ha hacc: mshana jr
Yaweza kuwa ulisinzia kuelekea kaskazini ya chumba ulichokuwepo.... wataalam wanasema ikiwa hivyo utaota ndoto za mang'am ng'am.
Wewe ni mtu wa wapi? Kwenu mna mizimu?
Kuna mkoba (uchawi) kwenye familia na haujakabidhiwa mtu?
Jina unalotumia ni la kurithi kutoka kwa bibi au shangazi au .....? Huyo mwenye jina asili alikuwa na mambo ya matambiko? Kama huna basi kuna roho inakutafuta. .....
La itakuwa malaria inakaribia kupanda kichwani wapi hospital.
La ilikuwa ni njaa usiku huu ukilala hutoota tena hivyo.
Pole.