mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,057
- 37,273
Asa kuna washamba wao kazi ni kuuliza wenzao .....umefunga? .........umefunga?.........Kwa upande wa Biblia ni inakataza. Unatakiwa unawe uso, lips zisikauke kutangazia umma kwamba umefunga.
Ts only you & ur God.
Wanaenda mbali zaidi kwa kujiekezea kuwa wamefunga pasi na kuulizwa