Nyimbo za Tanzania zatumika kuhamasisha maandamano Kenya

Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Dawa yao ilikuwa mkulungwa Magufuri tu ndio alideal nao vema aliwanyoosha kisawa sawa takataka hawa.
Wakishika mic wanajifanya wanauchungu na inchi jioni wanakaa meza ndefu na mawaziri wanapeana michongo na migao ya pesa.

Magufuri huo upuuzi hakufanya ndio maana walikuwa wanampiga vita kali hadi sasa wamemfanyia uharamia na bado hawaamini kama jamaa hatunae tena wanahangaika na legacy yake maana aliwapatia kisawa sawa.
 
Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Changamoto yao ilikuwa kuzuiwa kufanya Mikutano ya hadhara, haya mengine si changamoto kwao hivyo usitegemee haya kutokea Tanzania.
 
Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Wee jinga kweli. Wewe kwani mpinzani? Nani anakuzuia? Fanya siasa zako.unazoona zinafaa usilete visingizio
 
Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.

Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:

View attachment 2567989

Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.

Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?

Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.

Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Eti hakuna Mungu kama wewe yahweee,dah aahahahh
 
Mungu anijaalie wanangu wasije kuwa machawa
Tofautisha uchawa na upigania haki. Lissu, Odinga, Maalim, Mandela, Tutu na wa namna hiyo ni wapigania haki.

Kina mwashambwa , joni, Jilala na wale waliojinasibu kuwa ni machawa wa mama ndiyo machawa wenyewe.

Inafahamika kwenye vyama vingine uchawa ni machukizo. Ila kile chenyewe.
 
Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.

Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:

View attachment 2567989

Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.

Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?

Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.

Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Hata Chadema Huwa wanatumia nyimbo za Wakenya kuhamasisha vurugu..

Mfano sitosimama maovu yakitawala.
 
Siwezi kushiriki Maandamano. huchelewesha matokeo.
Ila msituni, unga nachangia.
 
Hata Chadema Huwa wanatumia nyimbo za Wakenya kuhamasisha vurugu..

Mfano sitosimama maovu yakitawala.
Kwenye kuhamasisha vurugu? Kwani wewe ni yupi hapo?

Screenshot_20230322-230708.jpg
 
Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.

Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:

View attachment 2567989

Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.

Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?

Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.

Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Tena nyimbo ya dini!!
 
Wameporwa majimbo yote uliandamana? Hawapo bungeni wamebaki mafisadi watupu alafu unataka upinzani wafanye Nini sasa Cha ajabu kama nyie wenyewe hamkuona umuhimu wao kuwa bungeni?

Kama mmeridhika na majimbo na halmashauri zote kuwa chini ya CCM nendeni mkalalamike makao makuu ya CCM. Haiwezekani ujinga wa chama kingine lawama wapewe chama kingine.

Ni sawa na Mama Yako kakutelekeza alafu unaenda mlaumu baba wa Nyumba jirani kwanini hakumuoa mama Yako ndio maana unapitia shida? Does it make sense.
Watanzania ndio waliousaliti upinzani
 
Back
Top Bottom