BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 4,688
- 10,193
Wenzako Arusha wanaandamana kupinga ushoga na tigo.Natoa wito watanzania tuungane kuandamana kupinga mambo ya hovyo yanayoendelea hapa nchini
Wenzako Arusha wanaandamana kupinga ushoga na tigo.Natoa wito watanzania tuungane kuandamana kupinga mambo ya hovyo yanayoendelea hapa nchini
Kuna siki isiyo na jina odinga atakutana na ruto ikulu na baada ya hapo atatoka na kuwaambia wananchi watulie sasa mambo yanaenda kuwa mazuri
Dawa yao ilikuwa mkulungwa Magufuri tu ndio alideal nao vema aliwanyoosha kisawa sawa takataka hawa.Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Changamoto yao ilikuwa kuzuiwa kufanya Mikutano ya hadhara, haya mengine si changamoto kwao hivyo usitegemee haya kutokea Tanzania.Tungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Wee jinga kweli. Wewe kwani mpinzani? Nani anakuzuia? Fanya siasa zako.unazoona zinafaa usilete visingizioTungekuwa na upinzani dhabiti sa hv tusingekuwa tunaibiwa twiga live live , tuna kundi la hovyo linalojiita upinzani huku likila sahani moja na matapeli na linazibia njia kwa upinzani dhabiti kuimerge
Unamaanisha atalambishwa asali au atapata vitisho?Kuna siku isiyo na jina odinga atakutana na ruto ikulu na baada ya hapo atatoka na kuwaambia wananchi watulie sasa mambo yanaenda kuwa mazuri
Asali bruh 😋Unamaanisha atalambishwa asali au atapata vitisho?
Ili atulie huyo mzee labda alambishwe kisha apewe ya kubeba maana huko nje watu wake watakua wanamsikiliziaAsali bruh 😋
Hamna ya kubebaIli atulie huyo mzee labda alambishwe kisha apewe ya kubeba maana huko nje watu wake watakua wanamsikilizia
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye.".
Eti hakuna Mungu kama wewe yahweee,dah aahahahhHii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
View attachment 2567989
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Tofautisha uchawa na upigania haki. Lissu, Odinga, Maalim, Mandela, Tutu na wa namna hiyo ni wapigania haki.Mungu anijaalie wanangu wasije kuwa machawa
Hata Chadema Huwa wanatumia nyimbo za Wakenya kuhamasisha vurugu..Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
View attachment 2567989
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Kwenye kuhamasisha vurugu? Kwani wewe ni yupi hapo?Hata Chadema Huwa wanatumia nyimbo za Wakenya kuhamasisha vurugu..
Mfano sitosimama maovu yakitawala.
Tena nyimbo ya dini!!Hii ni katika maandamano yaliyopigwa marufuku na serikali ya Ruto leo.
Katikati ya Nyomi hilo Kibra Nairobi, ni Raila Amolo Odinga (Baba) akiwa kazini. Kwa hakika hakuna mwingine kama yeye:
View attachment 2567989
Nyuma ya shughuli ni goma zito kutokea Tanzania, "hakuna kama yeye." Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Anakamatwa vipi Odinga ndani ya nyomi hilo?
Mungu si Athumani matumizi ya nyimbo hizi hayawezi kuacha kuwa mashamba darasa. Siku moja yatasikika kutokea makwetu Nanjilinji Kilwa, huko.
Heko kwao watunzi wa wimbo huu kwani kwa hakika wamewakilisha.
Tena nyimbo ya dini!!
Watanzania ndio waliousaliti upinzaniWameporwa majimbo yote uliandamana? Hawapo bungeni wamebaki mafisadi watupu alafu unataka upinzani wafanye Nini sasa Cha ajabu kama nyie wenyewe hamkuona umuhimu wao kuwa bungeni?
Kama mmeridhika na majimbo na halmashauri zote kuwa chini ya CCM nendeni mkalalamike makao makuu ya CCM. Haiwezekani ujinga wa chama kingine lawama wapewe chama kingine.
Ni sawa na Mama Yako kakutelekeza alafu unaenda mlaumu baba wa Nyumba jirani kwanini hakumuoa mama Yako ndio maana unapitia shida? Does it make sense.