- Thread starter
- #41
Uko sahihi kabisa.Mtu mwenyewe Diamond! Mtoto wa mtaani japo alikuwa na wazazi! Kalelewa mitaa ya kariakoo na kukulia tandale! Kwenye fikra zake mambo yote ya hovyo yasiyokuwa na staha kwake anaona ni fasheni na kwenda na wakati huku akitafuta kitu wanaita "kick". Sasa kaanzisha kituo cha TV "wasafi TV" ndo anasambaza upotovu kwa vijana! Fuatilia mahojiano kwenye wasafi TV wanaongelea mambo ya ngono! Tatizo watu wenye uwezo wa kutenda mema hawajitokezi na kutoa mwanya kwa waovu kuvuma!
Hata kama ana ukwasi lkn ukweli lazima aambiwe, kama yeye tayari ameharibika asituharibie kizazi chetu kwa kutunga Miziki ya ovyo iliyo jaa maneno ya ngono