Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,616
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Nyota Wa Muziki wa Barani Afrika, Naseeb Abdul, maarufu Diamond Platnumz!
Mwanamuziki huyu anatimiza Miaka 34, akiwa na Mafanikio ya Nyimbo Nyingi zinazoingia katika Chati za Kitaifa na Kimataifa, Album 2( Kamwambie na A Boy From Tandale) na EP moja (First of All)
Akiwa na zaidi ya Miaka 10 kwenye game Diamond amefanikiwa kuwashirikisha na kushirikishwa na Wasanii wengi wa Kimaifa kama Burna Boy, Omarion, Rick Ross na wengine wengi
Kama shabiki wa dhati wa Diamond, ungependa Diamond ashirikiane na msanii gani wa Kimataifa kama zawadi kwa Mashabiki?