figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,624
- 62,470
[Ngwair & JD]kama ni demu sikiliza, niskize mikama una swali uliza, niulize mihata kama sijamaliza, ah sikilizakama ni demu sikiliza, niskize mikama una swali uliza, niulize mihata kama sijamaliza, ah sikiliza[Ngwair]yoh nyie mademu gani, sikizeni kwa makinimimi hivi kwanini mnakuwa hamjiamini, yeahmnajua nyie yaani mna nguvu zaidi ya sisimwanaume kwa demu ni kama mfupa kwa fisisina nia ya kubadili maadili, sionnachopinga nyie kushikwa masikiosema tu hamjui umuhimu wenu.continue....mia